chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Yeah ndo maskani kwa wazaz mkuuhapo shule ya msingi? barabara ya kwenda kilosa? huwa nakuja kuangalia game kwa huyo mama, na hapo karibu na msikiti...vp unakaa maeneo hayo?
Poa poa mkuu cku nikija ntakuchekkaribu! maeneo ya polisi mkuu, ndio ninajiegesha
Nimtembelea sana huko, kuanzia mbigili, gairo, lukinga na migodi ya tunguli, ngala ndefu, chogwali. Nimemisi sana hukokaribu ndugu!