wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kwani ibada ni lazima iwe na muda maalum.? Hawataweza kumtia hatiani.Mwamposa hata km akikutwa na hatia sidhani kama itakuwa kwenye kipengele cha murder coz watatakiwa ku pruv beyond reasonable doubt, kwenye manslaughter may be kama wataiweka kwenye charge, but nayo sidhani kama watamkuta na hatia.
Sana sana atakutwa na hatia kwenye minor offences tu kama kufanya mkusanyiko nje ya muda aliopangiwa na mengine kama hayo, ambapo adhabu yake haiwezi kuwa kubwa kiivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo mtabiri mwamposa mbona kashindwa kutabiri watu watakufa yeye si ndio mtabiri.
kama kwa akili ndogo tuu ya darasa la 3 B umeshindwa kujua kama mwaiposa hana kosa, bc mtoa mada ni mzigo wa taifa.
hakuna kilichotabiriwa ila ni lazima ingekuwa hvy.
Mwamposa ni mwenzetu na mchangiaji nzuri wa maendeleo.Sijawai kumsikia akijiita nabii au mtume lakini Mshana jr alitabiri mapema kabisa kwamba Mwamposa ataachiwa na kuwa huru kuendelea na shughuli zake.
Pia aliongelea wale 20 ndugu zetu wametolewa kafara kumpandisha daraja Mwamposa ili awe na "power" zaidi na umaarufu maradufu ya aliokuwa nao.
Huo uzi uko humu humu JF. Kama mwenzetu amekuwa sahihi kwenye kipengere cha Mwamposa kuwa huru je na ile habari ya kafara huenda yuko sahihi.
Sidhani Mshana utakuwa wazi kutumegea ulijuaje, ila mi nadhani rada zako kali sana
Kama S400 . Ungekuwa wewe ni mwamposa ungestuka kule Moshi Mwamposa masikini rada ziliona giza.
Mi naanza kuwa na imani na Mshana potelea mbali yuko dini ganiau anapata je data zake
Cc. Mshana
especially ile ibada yao ya kurusha mawe kumuua shetani, huwa wanakufa na maisha yanaendelea, kwa kifupi huyo Mwamposa hata fungwa ikizidi sana fine aende zake.Kwani ibada ni lazima iwe na muda maalum.? Hawataweza kumtia hatiani.
Ulishaona macca wanapoenda kuhiji mashehe/mamfuti wa huko wanakamatwa inapotokea vifo vya mahujaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawai kumsikia akijiita nabii au mtume lakini Mshana jr alitabiri mapema kabisa kwamba Mwamposa ataachiwa na kuwa huru kuendelea na shughuli zake.
Pia aliongelea wale 20 ndugu zetu wametolewa kafara kumpandisha daraja Mwamposa ili awe na "power" zaidi na umaarufu maradufu ya aliokuwa nao.
Huo uzi uko humu humu JF. Kama mwenzetu amekuwa sahihi kwenye kipengere cha Mwamposa kuwa huru je na ile habari ya kafara huenda yuko sahihi.
Sidhani Mshana utakuwa wazi kutumegea ulijuaje, ila mi nadhani rada zako kali sana
Kama S400 . Ungekuwa wewe ni mwamposa ungestuka kule Moshi Mwamposa masikini rada ziliona giza.
Mi naanza kuwa na imani na Mshana potelea mbali yuko dini ganiau anapata je data zake
POVU RUKSA POVU RUKSA
Cc. Mshana
Ha ha mwamposa kabebwa h
Mwamposa kabebwa ndio mambo ya kafara
Kwenye uzi huu povu ruksa sana
. Siko serious na tabiri za mshana hapa ni JF lakini haijawai tokea nabii anakimbia kambi. Tena nabii anaejiita wa Mungu aliyeumba dunia
Mkuu mshana njoo utoe neno kidogo......Ni utabili, ni nguvu ya kafara au sheria? Maana naona povu jingi sana katika hii mada .
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo tumepata mtoa maono
Niliposikia tu kwamba sio yeye aliyeomba kibali na pale alialikwa tu nikajua pale hana kesi ya kivileTuliza akili mwamposa pale ni mgeni tu angekuwa yeye ndo kachukua kibali mtiti wake ungeuona katika hili kisheria hajulikani kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app