JF members mhudhurie ndoa yangu...

Fanya fasta fasta watu tupige mpunga... If she is there grab her! what are you waiting Broda!
 
Fanya fasta fasta watu tupige mpunga... If she is there grab her! what are you waiting Broda!
Mhhh!
If she is there.....!
Nmemkamata nae amenikamata....
Nipo naiwekea mazingira mazuri.
Nami napenda iwe hata muda huu.
Atii! Unaonaje iwe nje ya ....mkoa gani ifanyikie ili niwapate members wa JF?
 
maalim juma vigeregere kidogo,rrrrrrrrrrrrrrrr,mlisema hampatiiiiiiiiii,mbona kampataaaaaaa,mlisema hampatiiiii mbona kampataaaaaaaa.hongera maalim juma
 
Mhhh!
If she is there.....!
Nmemkamata nae amenikamata....
Nipo naiwekea mazingira mazuri.
Nami napenda iwe hata muda huu.
Atii! Unaonaje iwe nje ya ....mkoa gani ifanyikie ili niwapate members wa JF?

Maalim nawe ndio nini kututamanisha kumbe hata tarehe hujui, mi nilivyofungua haraka haraka lol mubaya wewe. Fanyia morogoro hiyo harusi
 
Ubwabwa nautamani kumbe tarehe bado. Mchokozi wewe Fanyia basi Tabora bana
 
Shekhe mi naomba nafasi ya uhasibu kwenye kamati. Hii kazi nina uzoefu nayo sana kwani nimeshafanikisha harusi nyingi sana kama mhasibu wa kamati. Kama nafasi hiyo ni ngumu basi nipeleke hata kwenye uenyekiti wa kamati ya vinywaji (kama kuna vileo) kwani naimudu vyema pia.
 
maalim juma vigeregere kidogo,rrrrrrrrrrrrrrrr,mlisema hampatiiiiiiiiii,mbona kampataaaaaaa,mlisema hampatiiiii mbona kampataaaaaaaa.hongera maalim juma
Naogopa hata kumtaja anaweza kuepo humu JF.
Ahsante...ahsante...ahsante.
Ila usikose hiyo day!.
 
Maalim nawe ndio nini kututamanisha kumbe hata tarehe hujui, mi nilivyofungua haraka haraka lol mubaya wewe. Fanyia morogoro hiyo harusi
Haya mambo lazima upitie humu ili upate japo ushauri mbali mbali.
Wazo lako limefika...ntaliwakilisha. Miezi gani weather ipo nzuri?
 
Ubwabwa nautamani kumbe tarehe bado. Mchokozi wewe Fanyia basi Tabora bana
Tuombeane afya njema na uzima. Tarehe kuitaja ndio naogopa....ila ntakujuzeni kila kitu!
Ahsante in advance!
 
Nipe mawasiliano kabla nafasi hiyo haijakamatwa na mwingine!
Pia niambie na uzoefu wako...maana nliwahi kuhudhuria sherehe ya rafiki yangu...mambo yaliowakuta hao kama ww ...nlishangaa!
Kumbe vinywaji hubakishwa na hakuna kuuliza!
 
Hiyo shughuli lini Maalim ili na sisi wa mikoani tuanze kuzichanga nauli mapema.....
 
Tutakunywa nini mkuu, na mchango unaendaje?

Ha ha ha Genekai hujanywa dawa ya Babu maana ukinywa ile dawa no bia, no wine, no whisky no pombe at all milele.

Ila kwa maalim nadhani ni soda tu
 
Ha ha ha Genekai hujanywa dawa ya Babu maana ukinywa ile dawa no bia, no wine, no whisky no pombe at all milele.

Ila kwa maalim nadhani ni soda tu
Labda aje nazo kichwani...hapo ni non-alcohol...juice ...maji...
Ila ngoja nisiwape utamu ...wahusika wenyewe wakimaliza ntawajuza...ila msikose jamani!!!
Utambulisho ni muhimu!
 
Tutakunywa nini mkuu, na mchango unaendaje?
Michango ni kama twakuuzia!
Hapo utakunywa maji...soda aina zote...non-alcohol...juice aina kwa aina...usisahau mlo swaaafiii...sijui ungependelea nini kati ya hivyo?
 
Hiyo shughuli lini Maalim ili na sisi wa mikoani tuanze kuzichanga nauli mapema.....
Usijali ntaipanga iwe mwanzo wa mwezi...ila bado sijajua iwe mkoa gani nje ya dar si lamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…