ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
WHY?
1. Matumizi ya nicknames ili kuficha identities zao while wa akina Maria Sarungi wakitumia taarifa zao halisi Katika account za mitandao yao katika kutema nyongo na kusema ukweli dhidi ya akina Serikali, keybody warriors wanaibuka na kuponda wengne kudharau. sasa tutachange utaratibu kupitia mods tutajuana tu.
2. Tunajua sana kuhamasisha behind of PC,TABLET, PHONES but kwenda kwa ground tunagwaya,this is for both side mana hata Mbowe aliachwa peke yake lakini wapo humu kwa forums kujifanya wanajua sana kuelezea "cowarders' af kwa ground hamna kitu ..
NB. TUACHENI UNAFIKI.
1. Matumizi ya nicknames ili kuficha identities zao while wa akina Maria Sarungi wakitumia taarifa zao halisi Katika account za mitandao yao katika kutema nyongo na kusema ukweli dhidi ya akina Serikali, keybody warriors wanaibuka na kuponda wengne kudharau. sasa tutachange utaratibu kupitia mods tutajuana tu.
2. Tunajua sana kuhamasisha behind of PC,TABLET, PHONES but kwenda kwa ground tunagwaya,this is for both side mana hata Mbowe aliachwa peke yake lakini wapo humu kwa forums kujifanya wanajua sana kuelezea "cowarders' af kwa ground hamna kitu ..
NB. TUACHENI UNAFIKI.