JF members tupime ukimwi

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720
Ni vizuri members tupime ukimwi....Ni jambo la busara ili kujua mipango yako ya baadae......fuata moyo wako sio ulazimishwe......

 
Mi labda mnibebe kwa greda na kunipiga pingu.

Nimecheka sana! Umenikumbusha jamaa angu mmoja naye alisema kama wewe: kwamba wasubiri mpaka atakapokuwa hajiwezi wambebe kwa machela ndo wakampime. Loh!
 
loh......
Nakumbuka mara ya kwanza kupima ilikuwa mwaka 2006......
Walllahhhhhhhhhh sirudii tena kupima.....
Jasho lilinitoka....
Nilipokuwa nafata majibu sikuwa najielewa elewa..........


Unadhani nitarudi kupima?
Labda mnibebe na winchi....
 
Owesome ideas...but kipi kimekusukuma kuja na mawazo haya!!...You sounds like umeumwa na nyoka so ukifunguka zaidi it will be icing on the cake.
 
Ni vizuri members tupime ukimwi....Ni jambo la busara ili kujua mipango yako ya baadae......fuata moyo wako sio ulazimishwe......
It begins with YOU.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kapime ili uwape wezako dili. Mi SIPIMI. Sema hawa wahuni wana mbinu nyingi za kukufanya upime, wanalazimisha kila mama mjamzito lazima kupima, sasa mkeo mjamzito akipima si mmeshapima wote?, aah! ngoja nichukuwe glasi ya maji ninywe. www.maajabuyamaji.net
 
daima siamini kama kunakuishi kwa matumaini hasa kwa masikini na hapo ndipo ninapopata mashaka kuhusu suala zima la kupima vinginevo its a good idea
 
Nimecheka sana! Umenikumbusha jamaa angu mmoja naye alisema kama wewe: kwamba wasubiri mpaka atakapokuwa hajiwezi wambebe kwa machela ndo wakampime. Loh!

Hata mi namkumbuka maana alisema yeye ni striker Kama Drogba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…