jF members wa 2090's, pls know that I also existed

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2008
Posts
725
Reaction score
1,282
Future members wa forum hii [ambayo kwa sasa inaitwa Jamii forums]

Enyi mtakaojaaliwa kuishi miaka hii ya 2090.

Mjue tu, namimi

◇Nilizaliwa nikiwa kitoto kichanga
◇Nikakuzwa na wazazi hata kufikia utu uzima
◇Nami nikajaliwa uzao wangu

Hata sasa 25/10/2024 wakati nachora ujumbe huu namshukuru mja kwa maajaliwa yote.

Tambueni tu NILIKUWEPO katika ulimwengu huu.
 
Vipi mkuu..uko salama?
 
Ukute wanausoma ujumbe wako sasa hivi wana JF wa 2090
 
Nakuelewa sana mwamba watu wenye low IQ hua wanadhani utani
 
Ukifikiria maisha kwamba hapa tunapita tu,na huko nyuma walikuwepo watu kabla yetu…..Naishiwa nguvu kabisaa
hauna haja kuwa mnyonge. hii dunia waliiishi wenzetu wengine maelfu au mamilioni ya miaka lakini hawapo tena. wote walikufa. ndivo itakavyokuwa hata kwa sisi pia. be humble. dunia tunapita tu.
 
Huyu naye tayari, kwisha habari yake.....................................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…