Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
kutokana na mwenendo wa kiasasa unavyoelekea kuna kila dalili ya wizi wa kura kutokea, na kwa kipindi hichi kifupi habari za njama hizo ya wizi zimekuwa zikilipotiwa humu (JF), kwanza na baadae kwenda sehemu zingine,
kwa maana hiyo JF inaonekana ni kama kituo muhimu cha kupatia info zote muhimu na ni ukweli ulio wazi kuwa matokeo mengi yatawasilishwa humu kwanza na jumla sahihi ya kura za uraisi inaweza kupatikana humu (kwa kujumlisha kura za vituo vyote), na hili linajulikana na hao wachakachuaji na sidhani kama watakuwa tayari kwa idadi/jumla ya kura za uraisi zijulikane na mtu mwingine yoyote kabla ya wao (wachakachuaji) hawajajumlisha, MAANA JK ALISEMA HAPO KWENYE JUMLA NDIPO WANAPOWEZA KUFANYA UHUNI WAO
hofu yangu kubwa ni JF kuhujumiwa wakati huu wa kusubiri matokeo 31Oct mpaka 3Nov, MODs na wengineo wanaohusika, MMEJIANDAA KWA HILI?
kwa maana hiyo JF inaonekana ni kama kituo muhimu cha kupatia info zote muhimu na ni ukweli ulio wazi kuwa matokeo mengi yatawasilishwa humu kwanza na jumla sahihi ya kura za uraisi inaweza kupatikana humu (kwa kujumlisha kura za vituo vyote), na hili linajulikana na hao wachakachuaji na sidhani kama watakuwa tayari kwa idadi/jumla ya kura za uraisi zijulikane na mtu mwingine yoyote kabla ya wao (wachakachuaji) hawajajumlisha, MAANA JK ALISEMA HAPO KWENYE JUMLA NDIPO WANAPOWEZA KUFANYA UHUNI WAO
hofu yangu kubwa ni JF kuhujumiwa wakati huu wa kusubiri matokeo 31Oct mpaka 3Nov, MODs na wengineo wanaohusika, MMEJIANDAA KWA HILI?