Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 798
- 541
Heshima wakuu,
Tangu jana usiku nimehangaika sana kutumia JF kwenye simu yangu, Nimepost thread ya kwanza then baada ya kutoka kwenye Internet nilipotaka kurudi tena sehemu ya home page hakukuwa na jukwaa lolote linaloonekana zaidi ya sehemu ya new posts.
Ningependa kujua kama tatizo ni lenu au la simu yangu. Asanteni.
Tangu jana usiku nimehangaika sana kutumia JF kwenye simu yangu, Nimepost thread ya kwanza then baada ya kutoka kwenye Internet nilipotaka kurudi tena sehemu ya home page hakukuwa na jukwaa lolote linaloonekana zaidi ya sehemu ya new posts.
Ningependa kujua kama tatizo ni lenu au la simu yangu. Asanteni.