commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,624
- 871
wakuu heshima kwenu,
tafadhali naomba mnisaidie mambo yafuatayo, nataka kujiajiri katika kutengeza sabuni za kuogea, kufulia na za unga, zitokanazo na mmea wa jatropha, naomba mnisaidie
1, gharama ya mashine ya kukamua mafuta ya alizeti ni sh ngap? Je inauwezo wa kukamua kilo kiasi gani cha mbegu na kwa muda gani?? Kwani nimepata taarifa kuwa hata hiyo mashine ya kukamua alizeti naweza imodifai kidogo ikafaa kukamua mbegu za jatropha kutoa mafuta.
2. Napenda kujua tbs, na tfda wana analyse, kuhakiki bidhaa kama hii kwa tsh ngapi tafadhali anayejua anisaidie wadau ili nazo bidhaa zangu ziwe zimehakikiwa nao
3. Naomba anayejua anisaidie gharama za kudesign na kuprint mabox kama yale ya sabuni za rungu au deto inaweza kukost tsh ngapi kwa kibox kimoja?? Na kama unamjua mtu anayeweza nisaidia kwa maana ya vifungashio ni pm tafadhali
asanteni sana , kila lakheri kwenu
tafadhali naomba mnisaidie mambo yafuatayo, nataka kujiajiri katika kutengeza sabuni za kuogea, kufulia na za unga, zitokanazo na mmea wa jatropha, naomba mnisaidie
1, gharama ya mashine ya kukamua mafuta ya alizeti ni sh ngap? Je inauwezo wa kukamua kilo kiasi gani cha mbegu na kwa muda gani?? Kwani nimepata taarifa kuwa hata hiyo mashine ya kukamua alizeti naweza imodifai kidogo ikafaa kukamua mbegu za jatropha kutoa mafuta.
2. Napenda kujua tbs, na tfda wana analyse, kuhakiki bidhaa kama hii kwa tsh ngapi tafadhali anayejua anisaidie wadau ili nazo bidhaa zangu ziwe zimehakikiwa nao
3. Naomba anayejua anisaidie gharama za kudesign na kuprint mabox kama yale ya sabuni za rungu au deto inaweza kukost tsh ngapi kwa kibox kimoja?? Na kama unamjua mtu anayeweza nisaidia kwa maana ya vifungashio ni pm tafadhali
asanteni sana , kila lakheri kwenu