JF na hii mmeshaiona, full burdani

Hii kiboko sikufikiri kabisa!!! Kumbe wanapendeza? Safi sana
 
Inasikitisha kuona watu wakiwa na mitizamo finyu na hata uelewa! Kilichopo hapo kina uhusiano gani na mujahidina? Wangevaa kanzu za kipadre ( zenye marinda na mikanda) bwana Leonardo ungelichukuliaje, tafuta ufahamuzaidi ndugu yangu
 
mwamependeza saaana, kwa kweli jamaa wamejitahidi lazima kukubali hapa ala! wacheni uchimvi humu ahh
 
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…