JF na uandikwaji wa Katiba Mpya.

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
JF imekuwa na msaada mkubwa sana kwa jamii, hususani katika kusema ukweli.
Naomba kujua; JE TUNAWEZA KUTOA MAONI YA PAMOJA JUU YA VIPAUMBELE VYA TAIFA, AMBAVYO VINAPASWA KUWEPO KWENYE KATIBA? JF ina msaada mkubwa sana katika mustakabali wa Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…