JF ni mtandao wa Dar es salaam, wamikoani facebook inawahusu

Mtu mwenyewe JF kaingia juzi tu, MSAHAMBA MMOJA.
We Dar umeona ni nchi? Pia ni mkoa. Mtu wa Dodoma anaita Dar mkoani.
 
facebook huwezi fananisha na jf katika nyanja yeyote ile, hata whatsapp imeandikwa ukiwa unaifungua from facebook, instagram pia ya fb
unaikosea heshima fb mkuu.
 
Kwani Maxmello mwenyewe anasemaje?
 
DUH! Mbona una AKILI FUPI SANA?
 
Haha hivi FB unaichukuliaje ..

Ni platform Ambayo ipo dunia nzima jf mwisho wapi ?
 
Atakuwa ngosha wa kolomije huyu ,kafikia Kwa dada ake Buza Kwa mpalange
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…