JF Ninusuruni

kama wazazi wako hawataomba cheti chake cha kuzaliwa kama sehemu ya mahali, unayo nafasi ya kuwaa mbia kuwa amekuzidi umli ili walidhike, vinginevo una agenda ingine.
 
Wazazi hawtakiwi kuingilia mapenzi ya watoto wao , labda kama kuna sababu ya msingi ktk kujenga

Umri kati ya WANAOPENDANA KWA DHATI sio tatizo kabisa

ili mradi kila mmoja wenu anajitambua nafasi yake ktk mahusiano yenu na WAJIBU wake ili kulinda upendo kati yenu
 
Si uwaulize hao wazazi kama watawaelewa au la! Unataka tukujibu kwa niaba ya wazazi, kwani una uhakika mawazo yao na ya wana JF yanafanana?
 
Sasa tatizo liko wapi? Kanyaga mwendo, songa mbele, jipangeni sawa sawa... na kuendeleza uaminifu sio ukiingia kazini tena uanze kumsaliti mwenzio... wewe!!!!!
 

Kama mnaoana kwa matwaka ya wazazi wenu, yes vigezo na masharti ya wazazi lazima kuzingatiwa.
Lakini kama mnaona kwa vigezo na masharti yenu wenyewe sioni wazazi wanaingiaje hapo.
For the avoidance of any doubt waulizeni wazazi wenyewe.
 
kama umemchoka mwambie usilete visingizio vya kitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…