Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
CC: TranscendTranscend
Mchango ni sh 30,000 na unatuma kwa namba hizi:
0716-394882 jina May AU
0756-986874 jina Mwanahawa Hassan
Location ni African Lounge Pub/Bar iko Namanga karibu na Best Bite
Na mwisho wa kutuma mchango ni tarehe 8 Dec 2018.
Joseverest mpe taarifa.
kuna chimbo la maana hadi kondoo wapo, meno yako tu andaawapi bby shem? hapo sehemu kuna mbusi?
teh teh
Sio lazima wote mje.Mnajikusanya,zinakuja difenda kama 40 hivi mnakusanywa wote mnaenda kuhifadhiwa Ununio!..
Siamini anything about JF,sio cha security,anonymity wala party wala anything.....
Hata wakati nasoma JF kwenye simu yangu sitaki anybody to know Im on JF.....
Ndio unikute kwenye party?For what?JF?
karibuni sanahahahhahahahaha sawaaaa
naomba nimualike shem wangu Daby kwenye huo mwaliko bbyshem
santeeeekaribuni sana
love you baby shemsanteeee
likewise here bbyshem and you know itlove you baby shem
Will you attend?santeeee
mimi ni wale wa present leo na keshoWill you attend?
mimi siku hiyo wewe utakuwa ofisi yangu eti bbyshem?oooh yeah😎😉
sio mbaya bbyshemmimi siku hiyo wewe utakuwa ofisi yangu eti bbyshem?
teh
Possibly type f nyama will be in your favour, Miss you too kule si umekimbia siku hzimimi ni wale wa present leo na kesho
depending on the type of nyama lakini
btw mbona nimekuhamu hivyo?
love you baby shem
Mnabebishana nn humu ndanilikewise here bbyshem and you know it
bhana weye ndo umenikimbia halafu sidhani kama ni tabia nzuriPossibly type f nyama will be in your favour, Miss you too kule si umekimbia siku hzi
Mnabebishana nn humu ndani
yeah KAWAIDA tuuuMnabebishana nn humu ndani
Sio lazima wote mje.
Wengine mbaki jukwaani mkichat