JF Party On My Mind

Mnajikusanya,zinakuja difenda kama 40 hivi mnakusanywa wote mnaenda kuhifadhiwa Ununio!..

Siamini anything about JF,sio cha security,anonymity wala party wala anything.....

Hata wakati nasoma JF kwenye simu yangu sitaki anybody to know Im on JF.....

Ndio unikute kwenye party?For what?JF?
 
Sio lazima wote mje.
Wengine mbaki jukwaani mkichat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…