Jf sio kisiwa

So jf hutusogeza karibu na watu tofauti wenye mahitaji tofauti.


Tena walio wengi ni wasomi,wadada kwa wakaka.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyohiyo hiyo unakutana nayo jf pekee watu mpo mapenzini mnagombana manasameheana hata kuonana hamjawahi

Au mnatongozana mpaka mnaachana hamjawahi onana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwakweli inashangaza Sana.

Wengine Hadi usingiz wanakosa kwa mtu hata ambae hajawai muona[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu kama hao kitu IMANI nafsini mwao hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…