Mtz haweza kuapply kwenda jela huko?Nchini Uholanzi Kiwango cha uhalifu kipo chini sana, baadhi ya magereza hufungwa kabisa na huwa wanaagiza wafungwa kutoka nchi zingine ili kujaza magereza yao
inakadiriwa kuwa ubongo wa binaadamu una uwezo wa kutunza taarifa zenye jumla ya ukubwa wa petabyte 2.5 ambazo ni sawa na GB Million 2.5
That's nice. πNchini Uholanzi Kiwango cha uhalifu kipo chini sana, baadhi ya magereza hufungwa kabisa na huwa wanaagiza wafungwa kutoka nchi zingine ili kujaza magereza yao
π π π Vipi, offer zimetoka ni apply ata mm! π€£Mtz haweza kuapply kwenda jela huko?
China wachawi wa ujenzi wale! π€£China walitumia cement nyingi kati ya mwaka 2011 na 2013 kuliko walivyo tumia marekani kipindi chote cha karne ya 20, hii ni katika maswala ya ujenzi
Kama wana internet na library mbona itakuwa bomba sana mwanaπ π π Vipi, offer zimetoka ni apply ata mm! π€£
Sio poa hao watu..China wachawi wa ujenzi wale! [emoji1787]
Ni vifupi vifupi ila wanajenga skyscraper za kutisha kwao, duh! π€£Sio poa hao watu..