Walitaka weeding yao iwe na some privancy halafu they ended up with a publicly divorceHadi pesa zinakuzoea. π π π Funny thing, money didn't save his marriage. Pesa zote lakini wapi, licha ya kuwa wote wamezeeka lkn bado wanajisikia kupiga away matches... π That's why naogopa wazungu, feelings zao huwa unpredictable and uncontrollable.
Hapo napatia blame his country. Ilikuwaje wazungu wakamchukua bila ya kuwa na uelewano na watu wa ndani ya nchi, sababu kwanza inakaa he was from native tribes Na hakua anaelewa kitu. So kungekuwa na atleast a govt rep hapo before they start anything. π€·πΎββοΈπ€£π€£Najiuliza ina maana hata hakua na wanasheria wa kumsaidia, au hata medie zingepiga kelele labda ingesaidia
First world sh*t... Hakuna kufikiria mara mbili mbili, kama hataki basi ndio hivyo. It doesn't matter mmetoka wapi na yeye, wazungu bhana! π π πWalitaka weeding yao iwe na some privancy halafu they ended up with a publicly divorce
Kazi kweli kweliFirst world sh*t... Hakuna kufikiria mara mbili mbili, kama hataki basi ndio hivyo. It doesn't matter mmetoka wapi na yeye, wazungu bhana! π π π
Bora hawa wetu, ya nini kuumiza ubongo na ma divorce ya kila sekunde... π π π πKazi kweli kweli
Yeah sisi hatuna shida, tukishaolewa tunaweka kichwani kwamba ndio mpaka kifo kitutenganishe, iwe for bwtter of for worse unless ukutane na kicheche pori ndio atakusumbuaBora hawa wetu, ya nini kuumiza ubongo na ma divorce ya kila sekunde... π π π π
Kicheche pori...π€£ π€£ π€£ π€£ KweliYeah sisi hatuna shida, tukishaolewa tunaweka kichwani kwamba ndio mpaka kifo kitutenganishe, iwe for bwtter of for worse unless ukutane na kicheche pori ndio atakusumbua