JF special thread kwaajili ya Facts

Haha!limesoma hili jamaa lilikuwa na IQ kubwa sana
IQ kubwa siyo kipimo cha akili au akili timamu, bali IQ ni kipimo cha wavivu wa kufikiri juu ha mambo waliyo kubaliana nayo, ndiyo maana huoni kipimo cha IQ kinatumika katika mambo yenye kuathiri afya ya akilo ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…