Sio kweli, wakati mwingine mtu anaweza kukwambia i love you, halafu unaona aibu kumjibu in words au una muadmire ila its to early to accept the proposal, u ajikuta tu unajibu emoj ya asanteUnasemaje kuhusu hilo,any comments?
Possibly yes, lakini wanawake wengi kwenye ndoa ni wavumilivu wa hali zote, ukishakula kiapo cha ndoa you have to bear with it no matter what, sema kuna wachache ambao wameingia kwenye ndoa foe their reasons or material things, ila kama umeingia kwenye ndoa kwa upendo then life is so easy to go along withMost of the time ni nyie
Labda kwa namna hiyo nakubaliana na wewe, lakini kwa mfano mtu uko naye kwenye relationship akafanya hivyo huwezi kusema anaona aibuSio kweli, wakati mwingine mtu anaweza kukwambia i love you, halafu unaona aibu kumjibu in words au una muadmire ila its to early to accept the proposal, u ajikuta tu unajibu emoj ya asante
Yah kweli kabisaPossibly yes, lakini wanawake wengi kwenye ndoa ni wavumilivu wa hali zote, ukishakula kiapo cha ndoa you have to bear with it no matter what, sema kuna wachache ambao wameingia kwenye ndoa foe their reasons or material things, ila kama umeingia kwenye ndoa kwa upendo then life is so easy to go along with
Yeah mtu ambae tayari mna mahusiano it make no senseLabda kwa namna hiyo nakubaliana na wewe, lakini kwa mfano mtu uko naye kwenye relationship akafanya hivyo huwezi kusema anaona aibu
Hahaha not trueA woman will never like you over-praising another woman, even your mother.
And this is because men are so selfish, they only care about themselves when making love, a real man will make sure kwamba amemsatsify partiner wake kwanzaStudies shows that women fake orgasm more frequently than men to avoid hurting their partners.
Kweli kabisaHahaha not true
Ila wanawake mna mambo nyie,sa si bora useme ukweli mtu aelewe kwamba yaliyomo hayamo[emoji23]And this is because men are so selfish, they only care about themselves when making love, a real man will make sure kwamba amemsatsify partiner wake kwanza
Ukimsifia mwanamke mwingine either a friend or collegue it hurts kwa sababu it feels like they are your competitors, lakini your mother or sisters or any blood relative they are not competitors, they are family, and same applies to menKweli kabisa
Mwanamke umuambie mamangu anajua kupika,anajua kusafisha nyumba n.k,lazima atamchukia ataona kama unasema yeye hawezi.Ukimsifia mwanamke mwingine either a friend or collegue it hurts kwa sababu it feels like they are your competitors, lakini your mother or sisters or any blood relative they are not competitors, they are family, and same applies to men
Huyo atakua mchawi, sasa kama mamaako anajua kupika the best thing i will do ni kwenda kupiga kambi kwa mama ili nijifunze that kind of tasteMwanamke umuambie mamangu anajua kupika,anajua kusafisha nyumba n.k,lazima atamchukia ataona kama unasema yeye hawezi.