zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Kama ilivyo mfugale flyover [emoji23][emoji23]Mnara wa Paris 'Eiffel Tower" ulijengwa na Engineer Gustave Eiffel
Ndio sababu uliitwa "Eiffel Tower"
[emoji23][emoji23]Kama ilivyo mfugale flyover [emoji23][emoji23]
Brain Heriel imetosha dah!Llanfairpwllgwyngyllgogery-
chwyrndrobwllllantysiliogogogoch
is the official name of a village in Wales.
View attachment 1566873
Mkuu kwenye hiyo ya mwisho umewasahau Nyani.. Hawa jamaa wanaenjoy kabisa wakiwa wanafanya mambo yao![emoji23]*William Shakespeare ndiye mtu wa kwanza kutumia matusi kuhusu wazazi*
*Mwili unatakiwa kulala masaa manne mara mbili kwa siku badala ya masaa nane mara moja kwa siku*
*Dolphins na binadamu ndio spishi pekee duniani wanaofanya mapenzi kama starehe lakini wengine wote hufanya mapenzi kwa lengo moja tu la kuzaliana*
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaenjoy lakini hawafanyi kama starehe kama sisi binadamu wao wanachotaka pale ni kuzaliana tuMkuu kwenye hiyo ya mwisho umewasahau Nyani.. Hawa jamaa wanaenjoy kabisa wakiwa wanafanya mambo yao![emoji23]
Haya bhana, maana hizi fact nyengine!![emoji23][emoji23][emoji23]Wanaenjoy lakini hawafanyi kama starehe kama sisi binadamu wao wanachotaka pale ni kuzaliana tu