JF special thread kwaajili ya Facts

Ukishajua women=emotions,ndo utajua kwamba women want nothing.
Ndio maana wanaume wengi wanapata tabu kuwaelewa wanawake, wanadhani wanawake wanawaza kama wanaume wengine.
🀣🀣🀣🀣 ni ngumu ila not as how you explain it, hata nyie wanaume ni ngumu sana kuwaelewa, sometimes mnakua kama watoto wadogo
 
Women with a higher income bracket than their spouses are also less likely to stray and they are likely to remain equally faithful no matter what their income is relative to their spouses.
Huu sasa ni uongo
 
Men who cheat are more likely to suffer from a heart attack, or β€œsudden coital death,” during the affair, as the man is usually in an unfamiliar setting and in a heightened emotional and physical state.
Hehe, hapa unashtua watu flani! 🀣 🀣 🀣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni ngumu ila not as how you explain it, hata nyie wanaume ni ngumu sana kuwaelewa, sometimes mnakua kama watoto wadogo
Nadhani shida ni kwamba, wanawake wanadhani wanaume wanafikiri kama wanawake wenzao na wanaume nao wanategemea kwamba wanawake watafikiri kama wanaume,so hapo kuna lugha gongana
 
Kwa hii I disagree!
You will never understand until you become a woman, kuna study moja nilikua anafanya, and i had to talk face to face with Lesbos, wengi walisema wameingia kwrnye mahusiano na wanawake wenzao kwa sababu they do not enjoy sex with men especially men with big penis, 98 percent walisema wanapenda bibamia au kusuguana na wanawake wenzao, ilifika mahali tukasema we should conduct another study tuchukue sampling tofauti kama wanawake waliopo ndoani, wengine ambao wanajouza, na wale wanaocheat, just to know exactlt what are their motives kwenye sex
 
Kama wanaume wangekua respinsible enough basi wasingelea watoto ambao sio wa kwao, ukienda kucheat use protection kuavoid haya mambo
Wala shida sio wanaume....mwanamke ndio anatakiwa awe mkweli kama umebeba mimba ya mchepuko y umdanganye mume akalea mtoto ambaye sie wake? Mwambie ukweli tuu.
 
Dah aisee, women [emoji114]
 
Actually, women do not prefer large penis, tofauti na inavyoonekana kweny mitandao, large penis zinatuumizaπŸ˜…, just an average one is perfect au hata kibamiaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Msela akiwa na kibamia, ishakuwa issue, hamtoshelezwi. Jibaba akija na tarimbo, oh unataka kuniua?.... Mwataka je? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…