Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
waKenya tutabanana hapahapa. ila wabongolala msitufuateSports segment ipo ila nazani upande huu wa Kenyan news ingewekwa kwa ajili ya wakenya kujadili ma rugby na michezo kama hiyo
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
waKenya tutabanana hapahapa. ila wabongolala msitufuate
wengi wa wabongolala humu Kenya section wanatia kero tu...wapowapo tu kujaza nafasi. kuna wale ninaowaheshimu na hawawezi kupita zaidi ya tano.Sasa kwa NINI tusiwafuate wakati NYIE ni jamaa zetu. Teh teh teh tihiii
wengi wa wabongolala humu Kenya section wanatia kero tu...wapowapo tu kujaza nafasi. kuna wale ninaowaheshimu na hawawezi kupita zaidi ya tano.
Mbona hakujibu ?How about Tanzanian news in Kenyan section?
good idea ila watajazana hapo pia kana kwamba wakimbizi...hawa watu bila ya kuja kenyan section kupambana na wakenya wanaskia wanaumwa...How about Tanzanian news in Kenyan section?
Kenyan news section imegeuza kuwa utoto wa tz news hadi imeanza kubore, unapata one out 6threads ndio kenyan news the rest ni news za kijinga ooh sijui travelator ,blabla a380 siju meli kubwa bla bla.......the only solution ni kutocomment thread za kijinga tunawaacha wajibazane kama ule wa qantas,inawauma sana tusipojibu izi nyuzi zao.good idea.. for the first time you are making sense...we need a sports section where we will discuss rugby, athletics, marathon and soccer updates...pia, ukizungumzia athletics au rugby, watz wanabaki wameduwaa hivyo inabidi wanaoendesha operations za JF wajaribu kuvutia wahabeshi na waafrika kusini walio bora katika mambo ya michezo tusiwe ni kana kwamba tunapigia mbuzi guitar...
hahahaha trueKenyan news section imegeuza kuwa utoto wa tz news hadi imeanza kubore, unapata one out 6threads ndio kenyan news the rest ni news za kijinga ooh sijui travelator ,blabla a380 siju meli kubwa bla bla.......the only solution ni kutocomment thread za kijinga tunawaacha wajibazane kama ule wa qantas,inawauma sana tusipojibu izi nyuzi zao.
Ha ha haaa! Eti kutocomment! Wakenya mda mwingine mnachekesha sana! Haya mambo ya kuzila kuchangia mijadala ya tz niliyaona hata Ktalk, nikaona mkipeana za uso wenyewe kwa wenyewe. Utakuwa ni wewe ulianzisha ule uzi nadhani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kenyan news section imegeuza kuwa utoto wa tz news hadi imeanza kubore, unapata one out 6threads ndio kenyan news the rest ni news za kijinga ooh sijui travelator ,blabla a380 siju meli kubwa bla bla.......the only solution ni kutocomment thread za kijinga tunawaacha wajibazane kama ule wa qantas,inawauma sana tusipojibu izi nyuzi zao.