JF Star Search (JFSS)

Nasikitika kwa vile sina likes za kuchezea...[emoji16] ...like zangu nataka ziwe adimu kama like ya Mwigulu nchemba au brother Max Mello.
Kwa sasa hivi ambavyo mambo yanavyoenda inatakiwa hata comment zako ziwe tofauti yaan mods wafanye mpango post zako ziwe tofauti na makapuku ,likes mi najua nitapata tu
 
Bora kubaki kimya na kufikiriwa kama mpumbavu kuliko kuongea blaa blaa na kuondoa shaka zote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…