Hongera Rev Masanilo!!
Mi nafikiri top 10 thanked ina accommodate element ya quality of posts! Binafsi nikimgongea mtu senksi ina maana nakubali quality na relevance ya mchango wake katika thread husika!!
Hongera Rev Masanilo!!
Mi nafikiri top 10 thanked ina accommodate element ya quality of posts! Binafsi nikimgongea mtu senksi ina maana nakubali quality na relevance ya mchango wake katika thread husika!!
Lakini kuna watu wanachukia sana
Nani hao wenye chuki komredi?
aisee Masa please fukunyua ya ban mkuu twaweza kuongeza kategori kwa NN
pia tuoengeze most quoted post
nadhani tuongeze pia ya most multiple IDs user member list aiseeNakwambia mimi niko juu kwenye anga zote....walahi tena nikijumlisha ID zote nilizonazo.....nafunika vibaya sana.
nadhani tuongeze pia ya most multiple IDs user member list aisee
nilikua mengwe enzi hizo nanunua mbuzi na kuleta mbwewe wakati huo nimeajiriwa na hamlashauri ya romboHahahahaah Mzee kumbuka toka 2006 kuelekea 2007 lazima ni wazoefu hata Mh Mubyazi anajua!