JF Stats

Kwa sababu nina senksi nyingi sana ukiunganisha ID zangu zote 500

Kuna hiyo ID yako moja nilicheka sana. siku comment yako ilitokea kwa ID X kesho yake nacheki naona ID comment ile ile imekuwa ID Y. Vipi Mod walikuomba msamaha au walijipiga ban?
 
Nikosa kubwa kuziunganisha yule Painkiller akinifungia hii nakuja muda huo huo na ID nyingine !

Hahahaha Mwanakijiji ni mashine kubwa hiyo

Haya Kamanda, umenichekesha sana. Nakuaminia kaza buti.

Shida ni kuwa Rev anaweza kuwa popular kuliko hizo ID nyingine.
 
Na yeye (Mwanakijiji) akichanganya IDS zake zote je? (joke)
 
Naomba pia msiwasahau wale wanaoongoza kwa kupost utumbo kama vile dar es salaam, na wengineo tupate kuwajua na michango yao ya ******
 
Hongereni mliopo katika top ten. Na sie wengine ngoja tujikongoje mwaka 2011.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…