JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Tairus

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
676
Reaction score
1,056
Thread maalum kwa yoyote ambaye angependa kushow love kwa jf member mwenzetu.

Unachotakiwa kufanya ni kumtag mtu wako aje apa alafu unatupia mistari kama yote wadau wengine tutakupa sapot [emoji28][emoji28]

Akija mwambie labda kwa nini yeye au labda umeanza kufatilia kuanzia lini.kifupi msifie tuu na sera nyingine.

Unajua sio watu wote wako active PM so nimefungua huu uwanja kwa sababu hiyo.

Alafu mwisho wa siku kuna kitu wazungu wanaita secret admirer yaan mtu anakukubali sema kimyakimya yaan.so its time to open.

Kuna wadau watakula tags za kutosha that one am sure.

Jinsi ya kumtag mtu unaanza na @alafu jina lake...mfano@(Tairus)
 
Thread maalum kwa yoyote ambaye angependa kushow love kwa jf member mwenzetu.

Unachotakiwa kufanya ni kumtag mtu wako aje apa alafu unatupia mistari kama yote wadau wengine tutakupa sapot [emoji28][emoji28]

Akija mwambie labda kwa nini yeye au labda umeanza kufatilia kuanzia lini.kifupi msifie tuu na sera nyingine.

Unajua sio watu wote wako active PM so nimefungua huu uwanja kwa sababu hiyo.

Alafu mwisho wa siku kuna kitu wazungu wanaita secret admirer yaan mtu anakukubali sema kimyakimya yaan.so its time to open.

Kuna wadau watakula tags za kutosha that one am sure.
First seat
 
Back
Top Bottom