mkiletaga jeuri dawa ni kuwabeba mshikaki wa kimya kimya bila kelele
Tag hata wale unaotaka unjunjue kwa mara ingineTunawatag tunaowapenda upendo wa kipendwa au wale ambao tunatamani siku tunjunjane nao?
Hahahaa if you have competitive advantage competeGuys kuna mtoto anaitwa Yna2 mnamanya fresh?
Katika pitapita zangu nimekuta jamaa @ZeroIQ kamtengenezea uzi tayari..
Sounds like i was late..
Nakupenda sana yna2 - JamiiForums
Jeuri gani sasa na ndio tumekufa tukaoza. Na mishkaki yetu sio ya kimya kimya, tunajijua kabisa na hatuna ujanja. Huu mrogo sio wa mchezo.
@Cute BTag hata wale unaotaka unjunjue kwa mara ingine
Una akili saaaana.Hahaahaa. Kweli aishi milele Melo. Sema nini. Mtu akitaka kuliwa aliwe tu. Maisha ndo haya haya.
Umekosea kutype.... chief@Cute B
lkn ujumbe umefika na kuelewekaUmekosea kutype.... chief
@cute blkn ujumbe umefika na kueleweka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]WALE AMBAO HUU UZI UKAE HATA HADI MWAKANI TUTAAMBULIA PATUPU
TUKUTANE TUJIULIZE TUNAKOSEA WAPI NA TUBORESHE NINI[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
na wewe umekosea au haikubali sababu ya ban@cute b
Morning my sweetness, you good?Good morning darling
Hivi mpaka dakika hii hujatajwa tu?[emoji848][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mbinu nimeipata, ntaiwasilisha kwenye kikao.
Ila tukishindwa kabisa tutaongea na Kalumanzila Mshana atupe unga wa ndele.
mara nyingine bora usitajwe sababu unaweza kutajwa na mtu mwenye msururu wa kujaza Coaster ikawa ni aibu badala ya fahari[emoji23]Hivi mpaka dakika hii hujatajwa tu?[emoji848]
Kaoge maji ya bahari mara saba[emoji23][emoji23]
Whaaaat! Kwani humu kuna wenye misururu?mara nyingine bora usitajwe sababu unaweza kutajwa na mtu mwenye msururu wa kujaza Coaster ikawa ni aibu badala ya fahari[emoji23]
Whaaaat! Kwani humu kuna wenye misururu?
[emoji119][emoji119]wewe wasema
Mimi sijakosea ila hakikubalina wewe umekosea au haikubali sababu ya ban
nyoosha mikono kabisa[emoji119][emoji119]
Aisee, nioge maji ya bahari mara ngapi wakati mie mvuvi?Hivi mpaka dakika hii hujatajwa tu?[emoji848]
Kaoge maji ya bahari mara saba[emoji23][emoji23]