JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Jeuri gani sasa na ndio tumekufa tukaoza. Na mishkaki yetu sio ya kimya kimya, tunajijua kabisa na hatuna ujanja. Huu mrogo sio wa mchezo.
mkiletaga jeuri dawa ni kuwabeba mshikaki wa kimya kimya bila kelele
 
kuna wakati mnaota mapembe na mnaanza visa na kejeli, mwanaume hapendi dharau wala kejeli.
kwa kifupi mwanaume ni mwoga pale ke akianza vioja, hivyo hulazimika kuhama kiroho japo kimwili utamwona lkn kambi yake ya moyoni huihamishia kwingine.
Kwako atabaki kama Kaboom, kwa Khantwe atajulikana kama KingY lkn ni mtu mmoja kwa id tofauti
Jeuri gani sasa na ndio tumekufa tukaoza. Na mishkaki yetu sio ya kimya kimya, tunajijua kabisa na hatuna ujanja. Huu mrogo sio wa mchezo.
 
Hivi mpaka dakika hii hujatajwa tu?[emoji848]
Kaoge maji ya bahari mara saba[emoji23][emoji23]
Aisee, nioge maji ya bahari mara ngapi wakati mie mvuvi?
Ntajitahidi nikuhonge papa ili uniandikie na uzi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…