Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Teh ugonjwa wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
My secret admirer, alafu sio mimi tu, tuko kama watatu hivi ujue. Ana bahati sana mkewe kwakweli, amebarikiwa mwanamke aliyembahatisha.
Em nitajiei think sio kwa mapenzi penzi.. mie naemwelewa humu ndan yupo siasani..[emoji4][emoji4]!yaan akiandika mie kwatuuu
Huyo wa manengelo sijampata kabisa. Wa kwako namjua tu, maana hadi unamuotaga usiku
Huyo wa manengelo sijampata kabisa. Wa kwako namjua tu, maana hadi unamuotaga usiku
Hahahaaa eti namuotaga, hata manengelo anamuelewa huyo huyo.
πππ alafu sijawah muona MMU bas nasemaga oh Lawd thank you! akija huku amkute Madame B kuna kazi hapa πππ! nitakuambia kwa majaliwa!sifeel better men awe mmu kwa snaaa..aku bibi weeππ!ila ni pro ccm bas nashindwaga ht kucommentEm nitajie
Show ikibamba inakuaje bidada?ukute show yako haikuwabambaπ!
Aaah mtu na mshenga wake mna taste moja
ππespy kivuruge sana yule shemela aloachwa na mkewe anamwelewa sana espy ila sasa esp majibu yake unataman kijificha chini ya uvungu aiseeAaah mtu na mshenga wake mna taste moja
[emoji23][emoji23][emoji23] alafu sijawah muona MMU bas nasemaga oh Lawd thank you! akija huku amkute Madame B kuna kazi hapa [emoji23][emoji23][emoji23]! nitakuambia kwa majaliwa!sifeel better men awe mmu kwa snaaa..aku bibi wee[emoji4][emoji4]!ila ni pro ccm bas nashindwaga ht kucomment
Hahahaaaaa!!! Sijui lini nikulewesheee hadi umtaje.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naona mapromosheni km yote..jisifie mwenzangu unaweza kaa mwaka mziimmmaaa hujasifiwa[emoji57]
Roho mbaya haijengi, kizuri tule wote[emoji23][emoji23][emoji23] alafu sijawah muona MMU bas nasemaga oh Lawd thank you! akija huku amkute Madame B kuna kazi hapa [emoji23][emoji23][emoji23]! nitakuambia kwa majaliwa!sifeel better men awe mmu kwa snaaa..aku bibi wee[emoji4][emoji4]!ila ni pro ccm bas nashindwaga ht kucomment
Hahaa espy hataki mambo ya kukonda kama mchicha[emoji23][emoji23]espy kivuruge sana yule shemela aloachwa na mkewe anamwelewa sana espy ila sasa esp majibu yake unataman kijificha chini ya uvungu aisee
ππππHahaa espy hataki mambo ya kukonda kama mchicha
πππππ akipata uteuzi tu mie ndo nitamtaja kwakweli... kudamshi km koteeRoho mbaya haijengi, kizuri tule wote