HahahahhaahNilivyo active hivi; nishaanza kazi instantly
Wewe wa MMU huna swaga kama wenzio.Mi napinga
hahahhahaha espy nacheka mm hapa ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Stay tuned...Hahahahhaah
Umetisher sana shoga...uje kutupa na mrejesho
Hahahaah bumba maji mengi mdomoni usije ukamtaja khaaa
Mimi wa bettingWewe wa MMU huna swaga kama wenzio.
Ndio maana unakataa
Dooh ahsanteni kwa kunishtuaSiasani kuna vichw jamani achakabisa, mie huwa nsoma tu naishia lusema "hiiiiiiiiiii".
Hahahhaha
Hao masikini wa MMU chukueni wenyewe.
Umenikumbusha juzi, kuna mdada alianzisha uzi kule siasani kuwa anatafuta mchumba
Omufaza..
ghenhehe hanghe e gheko si nangh'o?
OkayyyyStay tuned...
Unapatikana jukwaa gani?Mimi wa betting
Wazee wa mikeka
Vip naweza kuwa romantic?
Unapatikana jukwaa gani?
Dada alijitoa ufahamu.Hahahaaaaa!!! Bora aliwafuata huko huko maana love connect hawaji wamejaa hawa hawa.
Sijaliona hilo jukwaa au ndo Sports?Wazee wa kubet
Sijaliona hilo jukwaa au ndo Sports?
😂😂😂😂bas mie nipo tofauti..nahis yangu mengi nijishughulishe nayo.. yaan kwa heshima na 'taazima'yenu nitawaeleza nnyie wadada kwakwel...kumtaj hapa mbn nahis km Shunie atamwendea piyemu😊Hivi unaju jinsi kukosa umbea kunavyouma!!!
Ngoja nikafukunyue thread zako.Ndio
Ngoja nikafukunyue thread zako.
Nakuja na jibu