M speakin from experience
Oooh!! Basi sawa.
Pm zingekuwa na kioo ingekuwa balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii laana nimeipata wapi kwanza pamoja na comment zote humu sijaona nikitajwa popote.
?????
Hahahaaaa!! Kuwa na subra.
Uzi uko page ya 51 hii subira naona haina uwezo wa kumvuta heri
Bado mapema sana mkuu.
Hahahaaa!!
Sasa pm unapangwaje!! Sema nje ya jf ndio unapangwa.
Unadhani humu ndio watu hawapangwi?!
Nashindwa kuelewa wanapangwaje! Yaani unadate wanawake wa humu zaidi ya mmoja?
Endelea kujifanya huelewi
haya nitakwambiaKwahiyo ndio umekataa kusema?
haya nitakwambia