Eeeeh anafurahia kuwaona mboga zake. Tena ukute ndo wale mnaitana mashosti jukwaani hata pm hamjawahi kuchat basi anawachoora tu.
audacious usiponikubalia ombi langu leo sikufuati tena pm.
hazard cfc babe wewe wajua dokta akizingua tu unachukua namba.
Extrovert mpenzi nina ujumbe wako
Hahahaaa!! Kila ukimkumbuka unataja, list hii haitoisha anytime soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa! Lol!
Hahahahaahaa. Nataka niwavuruge tu ila mlengwa anajijua hapo. (Naua ndege wengi kwa jiwe moja)
See...
Ngoja nimdukue mlengwa[emoji144]
Acha mabeb zangu. Naendelea kukumbuka list hapa nawafungukia. Atakaewahi pm ndo namchukua huyo huyo
What?
Ww upo piaWote.
Its hard to admit...stop flirtn wit those guys [emoji23][emoji23][emoji23]
Ww upo pia
Uzuri ni kwamba kila mmoja atajiona mlengwaHahahahaahaa. Nataka niwavuruge tu ila mlengwa anajijua hapo. (Naua ndege wengi kwa jiwe moja)
Hahahaaaa!! Unawaongelea akina nani kwani!!
Am not flirting with anyone.
Hahahaaaa!! Kama vipi wote wakija unawapanga tu.
Their jst hitin on u..[emoji23][emoji23]