Nakuelewaga kinyama aiseeNipo mkuu.
Uzuri ni kwamba kila mmoja atajiona mlengwa
Eeeh. Mbona wao wanatupanga humu tunakaa kimya tu. Na mimi nataka nilipize sasa
Hahahhaa. Uzuri ni kwamba mlengwa anajijua. Na ninaotaniana nao wanajijua. Utaona tu kwenye maandishi wakiniquote.
Nakuelewaga kinyama aisee
Usiulize unavyovijua..Wait!! Kwenye list gani?
Usitufanyie hivyo!
Bila Shaka mkuuKama mimi tu mkuu. Tunaelewana.
Usiulize unavyovijua..
Hahaahahha. Sasa mlengwa sijui atamind akiona nimeweka mtu aliekua anahisi natoka nae.
Ukimaliza kulipiza naomba uje na UziEeeh. Mbona wao wanatupanga humu tunakaa kimya tu. Na mimi nataka nilipize sasa
No one is hiting on me jamani. Just me,myself and I.
I jst dnt wnt to mention any1 for nw bt we both knw the UKWELI
Teh teh..Kukukula ilishashindikana..Tumebaki wapendwaYa kukulwa au upendwa?
Mmmmh!! Hakuna ukweli wowote hapo.
Teh teh..Kukukula ilishashindikana..Tumebaki wapendwa
Ngoja kwanza nimalize hii bia yangu
Sawa mm naendelea kusoma maandishi yenu
Nitamtag mtuUkishalewa?