Nitamtag mtu
Hata wewe ungenionea huruma tu[emoji20][emoji20][emoji20]We trouble maker akutag nani mfyuuu
Chizi mmoja wewe..Acha bwana!! Kumbe ilishindikana!!
Mie nimebaki nasubiri kumbe nasubiri hewa!!!!!!!
Hahaha hapana ujasiri ninao ila namalizia kwanza kabia kanguHadi ulew ndio upate ujasiri!!
Hata wewe ungenionea huruma tu[emoji20][emoji20][emoji20]
Chizi mmoja wewe..
Ngoja uachwe ndio kiranga kikuishe.
Hahaha hapana ujasiri ninao ila namalizia kwanza kabia kangu
Kitaniisha kweli mbona. Haaahaha. Sema bby anajua ukweli akiniacha atakua alikua ananitafutia sababu tu
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Tuliza akili tukufikirie
We subiri nimwage litag langu....jiandae kisaikolojiaIli upate ujasiri, basi sawa.
We subiri nimwage litag langu....jiandae kisaikolojia
Ooh that's fantasticSaikolojia yangu iko kamili gado.
Atashangaa yeye alivyokupanga kumbe nawe umempanga!![emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]