Bado wanahangaikaaaMshindi tunamtaka
Mshindi ni Nani au hiyo vocha haijapata mshindi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Duh kidogo nifungiwe laini nimebahatisha mara nne, ya tano naweka namba moja vocha ishatumika aiseee nasuburia bonus mie labda ntashinda
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Washindi wanakimbia kwa kasi ya 4G hawataki kujulikana Nafikiri ni wale wanaojiweka kwenye stutus ya juu sasa akija jionyesha anaona atashusha Cv
Kaka kisu cha ngariba kaniambia ananitumia Vocha wakat mm nilkuwa nimetega Mingo hapa kwako na Vocha hajanitumia na Mingo yangu mtego umeharibika nalia mm Leo mb kifurushi kinakata[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
8 mkuuOngera sana mkuu namba ya mwisho ilikuwa Ngapi?
Tisa mkuu..Siyo nane mkuu inayofata kutoka nane ni ngapi
Mkuu hizo dharau, kushiriki hii game haina maana uko jobless au hauna hela ya vocha. Hilo sio lengo la game, hii ni sehemu ya burudani pia.Naona majobless wanaongezeka kwa kasi ya ajabu Tanzania
Mchezo unachezwa saa 6 mchana? Saa sita ni muda wa kuingia mitandaoni kutafuta vocha za bure? Alafu mnalalamikia efficiency ya serikali yenu, kwahiyo wewe unaweza kuacha kutoa huduma/kufanya kazi ya kuzalisha mali alafu ukaingia mtandaoni kuvizia vocha ya bure?Mkuu hizo dharau, kushiriki hii game haina maana uko jobless au hauna hela ya vocha. Hilo sio lengo la game, hii ni sehemu ya burudani pia.
[emoji23][emoji23][emoji23]baba yetu Ziro IQUko wapiii mida ya kubet
[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]Mchezo unachezwa saa 6 mchana? Saa sita ni muda wa kuingia mitandaoni kutafuta vocha za bure? Alafu mnalalamikia efficiency ya serikali yenu, kwahiyo wewe unaweza kuacha kutoa huduma/kufanya kazi ya kuzalisha mali alafu ukaingia mtandaoni kuvizia vocha ya bure?
BTW kuweni makini, system works here, kuna watu wanawindwa humu JF.. Jiwekeeni hizo vocha za bure tu mkikamatwa siku ndio mtajua..
Bonus saa moja na nusu,19:30
Tigo na Voda
Stay tuned