systematic abdelkader
New Member
- Sep 14, 2018
- 2
- 0
Toka niingie jamii forums hakuna ata mtu alokuja PM kunsalimia.... Haya basi njooni japo munitukane[emoji1] [emoji1] [emoji1]
HaahhaahWatakuja mkuu vuta subra.
Sory nje ya mada hizi emoji mbona kwenye cm yangu sizioni tangu nime i update zimefichwa kusiko julikana
Watakuja mkuu vuta subra.
Sory nje ya mada hizi emoji mbona kwenye cm yangu sizioni tangu nime i update zimefichwa kusiko julikana
Mtuonee huruma[emoji28]
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850] mimi mwenyewe emoj zipo za ajabu ajabu
Bora wewe zipo za ajabu ndugu yangu mimi hata option ya kuziona haipo kabisa
Pole i see
Ka nakuona unavyokosa raha ya ku commentNdo hivo mkubwa roho inauma sana kunabsehemu inahitaji emoj lakini ndo hivo hazipo naumia sana
Ka nakuona unavyokosa raha ya ku comment
[emoji16][emoji16][emoji16] lakini wao wanadai wanaume hatutakiwi kitumia emojYaani kama hapa ilitakiwa nikujibu kwa emoj lakini imebidi ni type .
[emoji16][emoji16][emoji16] lakini wao wanadai wanaume hatutakiwi kitumia emoj
KabisaSio kweli ingekuwa hivyo kungekuwa na cm za wanaume na wanawake
Fanya uvamizi mkuu..sio lazima ukasubiri mtu aku pm.jiongeze