Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we gusa popote hii ni pata poteaWangetoa hata dondoo za maeneo ambayo tuntakiwa tuzingatie sana jamni
we gusa popote hii ni pata potea
Cha muhimu tulia Tu,usaili tena na leseni wametupa wenyewe kwa kufanya mitihani..Ndugu yangu siyo rahisi mambo ni mengi sana ,,,
Maswali ni yaleyale ya darasani hakuna mengineNdugu yangu siyo rahisi mambo ni mengi sana ,,,
Kwaiyo ukifeli ajira hamna
hiyo ndio maana ya usailiKwaiyo ukifeli ajira hamna
Alooohiyo ndio maana ya usaili
Ajira ya nini na umefeliKwaiyo ukifeli ajira hamna
Nipeni possible basAjira ya nini na umefeli
Utumishi hawana possible unaweza shangaa wakakusprise cha muhumi we pitia kote tuNipeni possible bas
Nipitie wap mi sijawai fanya mtihani wa taasis ya serikaliUtumishi hawana possible unaweza shangaa wakakusprise cha muhumi we pitia kote tu
Pitia kama vile ulivyokuwa uko chuo ingia deep sana kwenye job description ya position uliyoombaNipitie wap mi sijawai fanya mtihani wa taasis ya serikali