Jiandae kwa usaili kada ya afya

Hapo kazi itakuwa sio kufanya interview Bali jina kuwepo na kuitwa kwenye interview
 
Hahaha kama umesoma unaogopa nini usaili? Wacha taifa likapate watumishi sahihi sio walevi na wavuta bange wanao jitapa kuwa na chek namba na kuwadharau werevu waliopo mtaani kuwa are not responsible kusaka ajira.Hapa PSRS nawapa 5 hakika watumishi wehu wanaenda kutoweka kwenye taasisi za umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…