thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Kubenea hajakanusha, which means liko mahakamaniNani kalipeleka mahakamani hilo suala
Kivipi mkuuMwanasheria mwenyewe majanga
Mwanasheria mwenyewe majanga
Kwan Tatizo ni lipi hapo ambalo Mwanasheria kakosea?, nisaidieKuna kazi ukizifanya nchi hii lazima ugeuke kituko hata kama wewe ni Msomi nguli, moja wapo ni kuitetea CCM.
Hapa Kwa kweli Chadema walilamba garasaMadhara ya elimu ya hapa na pale, huwezi kutambua kuwa jambo lililo mahakamani haliwezi kujadiliwa bungeni!
Wewe ambaye haujalamba galasa mbunge wako anakuwekea ugali mezani? Tehtehteh, wewe nadhani ulienda shule kukalia madawati tu.Hapa Kwa kweli Chadema walilamba garasa
Vipi imechoma hiyo? [emoji16]Wewe ambaye haujalamba galasa mbunge wako anakuwekea ugali mezani? Tehtehteh, wewe nadhani ulienda shule kukalia madawati tu.
Mimi Nafikiri wewe Ndio jangaMwanasheria mwenyewe majanga
Katika kipindi cha bunge jioni hii ya leo, Mbunge Saed Kubenea alipata nafasi ya kuuliza swali la kisera kuhusu Tume ya Uchaguzi. Alihoji ni lini Serikali italeta hoja hiyo ijadiliwe ili ifanyiwe marekebisho Tume ya Uchaguzi kuzuia Wakurugenzi wa Halmashauri kuwa wasimamizi wa uchaguzi?
Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliombwa na Spika kutoa ufafanuzi akasema kuna kesi Mahakamani imefunguliwa kuhusu shauri hilo, hivyo Bunge haliwezi ingilia shauri lililoko mahakamani.
Je, ni jibu sahihi?