Jibu la Mbunge Halima Mdee kwa Hakimu Kisutu ni jibu letu wengine wengi tusiotaka upuuzi na ujinga kwa wanafiki wa mara kwa mara

Jibu la Mbunge Halima Mdee kwa Hakimu Kisutu ni jibu letu wengine wengi tusiotaka upuuzi na ujinga kwa wanafiki wa mara kwa mara

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Popote alipo hivi sasa Mbunge Halima Mdee naomba atambue kuwa kuelekea Kuumaliza huu mwaka wa 2019 basi amekuwa ni ‘ Shujaa ‘ wangu hasa kwa Majibu yake Kuntu / Mujarab kabisa aliyoyatoa kwa Hakimu juu ya Kuulizwa Kwake kuwa ni lini ataoelewa na Yeye ( Mbunge Halima Mdee ) bila ya Kumchelewesha nae akamjibu kuwa Kuolewa Kwake siyo Kipaumbele.

Na Mimi GENTAMYCINE ambaye sasa nimechoka Kuulizwa hili Swali kutoka kwa ‘ Wanafiki ‘ baadhi wa hapa Mtandaoni na huku Uraiani hadi Vijiweni kuwa ni lini ‘ Nitaoa ‘ kwani Umri unaenda hivyo nami sasa napita mule mule alipopita Mbunge Mdee na nawajibu hapa hapa kuwa hata Mimi Kuoa Kwangu siyo Kipaumbele.

Na ole wenu niwasikieni tena mnaniuliza ni lini nitaoa.
 
Sasa hakimu alikosa maswali hadi aulize swali binafsi kama hilo???
 
Muda si mrefu kuna watu kazini walikua wanaongea juu ya hio kauli ya mdee ...

Hivi ana miaka mingapi ??
 
but why aulizwe swali kama hili ambalo halihusiani kabisa na kesi iliyo mbele yake?huyu ni Mbunge wa kuchaguliwa ambao wapiga kura wake hawakua na tatizo na marital status yake.tukiambiwa tunaishi in a shithole country tunakunja nyuso zetu wakati ndio ukweli wenyewe.
 
but why aulizwe swali kama hili ambalo halihusiani kabisa na kesi iliyo mbele yake?huyu ni Mbunge wa kuchaguliwa ambao wapiga kura wake hawakua na tatizo na marital status yake.tukiambiwa tunaishi in a shithole country tunakunja nyuso zetu wakati ndio ukweli wenyewe.
Mahakamani unaulizwa swali lolote na unatakiwa kulijibu.
 
Back
Top Bottom