Sio Jakaya Kikwete huyu rais wa tz anaetumia account (Jmkikwete)Ni jk huyo au jamaa 2 ana2mia address ya mheshimiwa?
Haswaa ndiyo anajibiwa!unataka kuniambie yeye anajibiwa majibu..
Nilijaribu kumtweet mhe Jk Katika account ya TWITTER km mara tatu juu ya tatizo hili la MIKOPO hatimae kanijibu leo sasa hv anasema "Bod ya mikopo inalìfanyia kaz swala hil na anaamin ufumbuz utapatìkana haraka iwezekanavyo".nawasilisha
NB;
Natumia mobile cwez weka hiyo post, kwa anayeweza anisaidie aingie TWITTER ,acheck account yake ni jmkikwete, ataona kareply kwenda jina la Eshacky.
Wahanga wenzangu tuombe mungu hili asemalo liwe ni kweli.
Eshacky! Big Up!!! Nakupongeza sana kwa Juhudi zako unazozifanya endelea hivyo hivyo tunakuombea kwa Mungu akutie nguvu juhudi zako zifanikiwe.Tunashukuru sana kwa taarifa zako zenye faraja!!
Sio Jakaya Kikwete huyu rais wa tz anaetumia account (Jmkikwete)
Anaeitumia hiyo account ni January Yusufu Makamba!
Nilijaribu kumtweet mhe Jk Katika account ya TWITTER km mara tatu juu ya tatizo hili la MIKOPO hatimae kanijibu leo sasa hv anasema "Bod ya mikopo inalìfanyia kaz swala hil na anaamin ufumbuz utapatìkana haraka iwezekanavyo".nawasilisha
NB;
Natumia mobile cwez weka hiyo post, kwa anayeweza anisaidie aingie TWITTER ,acheck account yake ni jmkikwete, ataona kareply kwenda jina la Eshacky.
Wahanga wenzangu tuombe mungu hili asemalo liwe ni kweli.
Nilijaribu kumtweet mhe Jk Katika account ya TWITTER km mara tatu juu ya tatizo hili la MIKOPO hatimae kanijibu leo sasa hv anasema "Bod ya mikopo inalìfanyia kaz swala hil na anaamin ufumbuz utapatìkana haraka iwezekanavyo".nawasilisha
NB;
Natumia mobile cwez weka hiyo post, kwa anayeweza anisaidie aingie TWITTER ,acheck account yake ni jmkikwete, ataona kareply kwenda jina la Eshacky.
Wahanga wenzangu tuombe mungu hili asemalo liwe ni kweli.