Jicho la Tatu: Bashite na Diamond rudini studio Upya,Tumewasitukia

Rais2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
3,248
Reaction score
5,537
Wimbo ni mistari ya mashairi siyo Melody wala umarufu wa mtu
Wimbo huu umekuja ki mkakati umekuja kulifanya jina la MAKONDA lijadiliwe
Liimbwe na media zilizomkataa, Dai kajilipua kumsaidia aliyekataliwa asikike
Ni akili kubwa imecheza ili tusiye mtaka arejee vinywani mwetu kupitia ushawishi wake,wapenzi wake kimuziki[emoji15][emoji15][emoji15]

Tunachezeshwa kwa sauti nyororo yenye kujaa huruma huku yeye akiwa anacheza dili ya kumfufua mfu kisiasa na kimadili

Kagusa hata Bunge ili kushawishi pande zote ili lengo lake litimie hiyo ni akili kubwa mno[emoji12][emoji12]

Walijipanga vizuri sana kama hujifikirishi sana unanasa tu
Mwanzo nilinasa nikachambua shairi nikagundua baada kujiuliza nini Gwajima, Mange kuhusishwa

Nikagundua Askofu Gwajima na Dada Mange ndo wahanga wa wimbo huu wala siyo Roma
Wimbo upo mahususi kimlinda mtu na kushambulia wanaohoji uharali wa vyeti
Hitimisho ni dharau kwetu kuwa tunakaa vijiweni kujadili VYETI VYA BASHITE badala ya KUSAKA SENTI[emoji15][emoji15][emoji15]

Diamond hayupo na Roma Mkatoriki yupo kutetea Mjadala wa VYETI
TUSANUKE TUSIINGIZWE CHAKA TUDAI VYETI BASHITE TOA VYETI.


Allan Bhujo FBI
 
Ohoo!! Mi nadhani kila mtu anahaki ya kuamini kile tu anachokiamini tuache kumpangia maisha mr platinumz lakini kwa upande wa nyimbo inahitaji upeo wa juu kuitafsiri ukiichukua juu juu lazima utaleta lawama kwa kijana wa tandale lakini ukifikiria sana kijana yuko neutral kapiga pande zote!!!
 
Wewe unayemchukia Mheshimiwa, hauchoki?

Naona siku hizi unazidi kutunga uongo juu ya xhochote, utafikiri yeye ndiye alikupangia maisha yako yawe yalivyo. Mtanyooka tu
Sasa wewe mama bashite unayajua maisha yangu?. Nyinyi ndiyo kula kulala na kukesha jf mkimtetea jambazi bashite. Hukuwa na sababu za kupitia kwenye uzi.
 
Nipe mchongo aisee usinibanie. Paul Makonda is a super hero, king of the city, Master of the game, super ninja, yaani ni nomaaaaaaa
Wewe unayemchukia Mheshimiwa, hauchoki?

Naona siku hizi unazidi kutunga uongo juu ya chochote, utafikiri yeye ndiye alikupangia maisha yako yawe yalivyo. Mtanyooka tu

Makonda oyeeee
 
Mlisema hivihivi kua Dai kushiriki kwenye kampeni za chama dola,lakini ndo hivyo,huyu jamaa anang'aa tu.Wimbo ni mzuri sana,nilipo hapa unapigwa kila kona.
 
Ukiona makele MENGI sana ya watu juaa ya kuwa wamefika sehem wamechoka na vituko vinavyoendelea IPO siku mtakipata mbachokitafuta tuu
 
Siwaelewi wabongo!! Hata mchawi ana wanaomchukia aidha wachawi wenzake au wasio wachawi! Kukaa kwenye mitandao kuwachafua wasio kujibu ni uchawi vilevile!
 
Unadai Vyeti unataka kumpa kazi! Kama unadhani kaiba nenda mahakamani kafungue kesi ili mahakama itoe hukumu. Vyeti havidaiwi kwenye mitandao, we nani kakuulizia cheti chako humu. NENDA MAHAKAMANI haki utaipata kama ni yako lakini!
 
Unadai Vyeti unataka kumpa kazi! Kama unadhani kaiba nenda mahakamani kafungue kesi ili mahakama itoe hukumu. Vyeti havidaiwi kwenye mitandao, we nani kakuulizia cheti chako humu. NENDA MAHAKAMANI haki utaipata kama ni yako lakini!
Kwa hiyo Haya ndiyo maoni yako mama bashite?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…