Pre GE2025 Jicho la Tatu! Kuwepo kwa wawakilishi wa Ubalozi wa China Mkutano Mkuu wa CHADEMA ni ishara mbaya sana kwa CCM na siasa zake

Pre GE2025 Jicho la Tatu! Kuwepo kwa wawakilishi wa Ubalozi wa China Mkutano Mkuu wa CHADEMA ni ishara mbaya sana kwa CCM na siasa zake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Mataifa yanayoheshimika duniani kwa kuwa na intelejensia ya kiwango cha juu duniani kwa sasa ni Marekani, Urusi, Israel, China na Uingereza.

Intelejensia ya kiwango cha juu katika mataifa haya zimeyawezesha mataifa haya kuweza kuzimudu kwa kiwango cha juu sana siasa za dunia (geopolitics) na kuyafanya mataifa haya yaendelee kuwa juu kiuchumi.

Katika machafuko yaliyotokea na yanayoendelea Msumbiji taifa lililoathirika zaidi ni CHINA. China kama marafiki wakuu wa chama cha FRELIMO waliwekeza sana nchini Msumbiji.

Vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi wa Msumbiji zimeathiri sana biashara za wachina maana wananchi walichoma maduka ya wachina na kuharibu mali zao wakiamini kuwa China imeshiriki kuifanya Frelimo kuiba uchaguzi.

Soma, Pia: Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Tukio la CHINA kukubali mualiko wa CHADEMA na kwenda kwenye mkutano wao Mkuu inamaanisha kuwa Idara ya Intelejensia ya CHINA imeishauri Serikali ya CHINA kuanza kuwa marafiki na vyama pinzani vya Afrika ili kulinda uwekezaji wao na maslahi yao.

Kwa watu wasioona kwa jicho la 3 wanaweza kulichukulia lile jambo kama jambo la kawaida sana ila kwa wanaojua kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI kinategemea kwa asilimia zaidi ya 70 kwa CHINA ili kuendelea kuongoza Tanzania wataanza kuamini kuwa hali ya chama cha Mapinduzi inaanza kuwa mbaya nchini Tannzania.

Inawezekana huu ukawa ujumbe kuwa Chama cha Kikomunisti na China kipo tayari kufanya kazi na CHADEMA endapo itachukua nchi.

Sasa naelewa kwa nini kuna hofu kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI baada ya mkutano mkuu wa CHADEMA na ushindi wa LISSU.

Mwaka 2025 unaweza kuja na suprise ya karne nchini Tanzania.
_E6_80_BB_E7_BB_9F_E5_8F_82_E5_8A_A02024_E4_B8_AD_E9_9D_9E_E8_AE_BA_E5_9D_9B_E5_B3_B0_E4_BC_9A...jpg
2024-06-23 17_33_04_cpc3.jpg
Screenshot_20250123_111426_Instagram.jpg
 
Kwani ccm imewamiliki wachina wote duniani? Au China na ccm ni ndugu so hamna watu wengine wana haki ya kuwa na uhusiano nao? Akili zetu tulipotezea wapi? Wachina zaidi ya billioni hao 10 sijui 20 waliofika kwenye huo mkutano ishakua big deal kwa sera za nchi ya mabilioni ya watu???
 
Kwani ccm imewamiliki wachina wote duniani? Au China na ccm ni ndugu so hamna watu wengine wana haki ya kuwa na uhusiano nao? Akili zetu tulipotezea wapi? Wachina zaidi ya billioni hao 10 sijui 20 waliofika kwenye huo mkutano ishakua big deal kwa sera za nchi ya mabilioni ya watu???
Soma uzi alafu comment tena. Achaga kukurupuka.
 
Soma uzi alafu comment tena. Achaga kukurupuka.
Sijaona content ya maana ni tope tu hili, wachina wana utashi kama binadamu wengine wowote hawapangiwi kumsupport yoyote na wala hawajakariri lazima kwa Tz iwe ni ccm tu, kwanza walishakua mabepari na wanaangalia maslahi tu kama mabepari wengine hawana rafiki wa kudumu tena!
 
Sijaona content ya maana ni tope tu hili, wachina wana utashi kama binadamu wengine wowote hawapangiwi kumsupport yoyote na wala hawajakariri lazima kwa Tz iwe ni ccm tu, kwanza walishakua mabepari na wanaangalia maslahi tu kama mabepari wengine hawana rafiki wa kudumu tena!
Ulishawahi kuwaona Wachina kwenye mikutano wa Wapinzani hapa Tanzania before incident ya Msumbiji iliyoathiri uwekezaji wao nchini humo?
 
Mataifa yanayoheshimika duniani kwa kuwa na intelejensia ya kiwango cha juu duniani kwa sasa ni Marekani, Urusi, Israel, China na Uingereza.

Intelejensia ya kiwango cha juu katika mataifa haya zimeyawezesha mataifa haya kuweza kuzimudu kwa kiwango cha juu sana siasa za dunia (geopolitics) na kuyafanya mataifa haya yaendelee kuwa juu kiuchumi.

Katika machafuko yaliyotokea na yanayoendelea Msumbiji taifa lililoathirika zaidi ni CHINA. China kama marafiki wakuu wa chama cha FRELIMO waliwekeza sana nchini Msumbiji.

Vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi wa Msumbiji zimeathiri sana biashara za wachina maana wananchi walichoma maduka ya wachina na kuharibu mali zao wakiamini kuwa China imeshiriki kuifanya Frelimo kuiba uchaguzi.

Soma, Pia: Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Tukio la CHINA kukubali mualiko wa CHADEMA na kwenda kwenye mkutano wao Mkuu inamaanisha kuwa Idara ya Intelejensia ya CHINA imeishauri Serikali ya CHINA kuanza kuwa marafiki na vyama pinzani vya Afrika ili kulinda uwekezaji wao na maslahi yao.

Kwa watu wasioona kwa jicho la 3 wanaweza kulichukulia lile jambo kama jambo la kawaida sana ila kwa wanaojua kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI kinategemea kwa asilimia zaidi ya 70 kwa CHINA ili kuendelea kuongoza Tanzania wataanza kuamini kuwa hali ya chama cha Mapinduzi inaanza kuwa mbaya nchini Tannzania.

Inawezekana huu ukawa ujumbe kuwa Chama cha Kikomunisti na China kipo tayari kufanya kazi na CHADEMA endapo itachukua nchi.

Sasa naelewa kwa nini kuna hofu kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI baada ya mkutano mkuu wa CHADEMA na ushindi wa LISSU.

Mwaka 2025 unaweza kuja na suprise ya karne nchini Tanzania.
Pamoja na kuheshimu sana nyuzi zako (comments); nimekushangaa sana ulivyowapaza hawa jamaa, yaani wachina. Kwa taarifa yako tu ni kua ukiona nchi yaani inakupenda au unaanza kuwa rafiki yake basi hiyo nchi inafirisika. Tumefika hapa kwa kuwa na China. Na kama Lisu akifuata siasa za China tena basi mimi nitakua bye bye!!!
 
Mataifa yanayoheshimika duniani kwa kuwa na intelejensia ya kiwango cha juu duniani kwa sasa ni Marekani, Urusi, Israel, China na Uingereza.

Intelejensia ya kiwango cha juu katika mataifa haya zimeyawezesha mataifa haya kuweza kuzimudu kwa kiwango cha juu sana siasa za dunia (geopolitics) na kuyafanya mataifa haya yaendelee kuwa juu kiuchumi.

Katika machafuko yaliyotokea na yanayoendelea Msumbiji taifa lililoathirika zaidi ni CHINA. China kama marafiki wakuu wa chama cha FRELIMO waliwekeza sana nchini Msumbiji.

Vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi wa Msumbiji zimeathiri sana biashara za wachina maana wananchi walichoma maduka ya wachina na kuharibu mali zao wakiamini kuwa China imeshiriki kuifanya Frelimo kuiba uchaguzi.

Soma, Pia: Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Tukio la CHINA kukubali mualiko wa CHADEMA na kwenda kwenye mkutano wao Mkuu inamaanisha kuwa Idara ya Intelejensia ya CHINA imeishauri Serikali ya CHINA kuanza kuwa marafiki na vyama pinzani vya Afrika ili kulinda uwekezaji wao na maslahi yao.

Kwa watu wasioona kwa jicho la 3 wanaweza kulichukulia lile jambo kama jambo la kawaida sana ila kwa wanaojua kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI kinategemea kwa asilimia zaidi ya 70 kwa CHINA ili kuendelea kuongoza Tanzania wataanza kuamini kuwa hali ya chama cha Mapinduzi inaanza kuwa mbaya nchini Tannzania.

Inawezekana huu ukawa ujumbe kuwa Chama cha Kikomunisti na China kipo tayari kufanya kazi na CHADEMA endapo itachukua nchi.

Sasa naelewa kwa nini kuna hofu kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI baada ya mkutano mkuu wa CHADEMA na ushindi wa LISSU.

Mwaka 2025 unaweza kuja na suprise ya karne nchini Tanzania.
Doctrine ya NEITHER RIGHT nor LEFT inawapiga upofu mbogamboga
 
Pamoja na kuheshimu sana nyuzi zako (comments); nimekushangaa sana ulivyowapaza hawa jamaa, yaani wachina. Kwa taarifa yako tu ni kua ukiona nchi yaani inakupenda au unaanza kuwa rafiki yake basi hiyo nchi inafirisika. Tumefika hapa kwa kuwa na China. Na kama Lisu akifuata siasa za China tena basi mimi nitakua bye bye!!!
Hoja yangu ni kwamba incident ya Msumbiji imewafanya kubadili muelekeo wao wa kuegemea kwa marafiki zao tu.

Kwa kuzingatia kuwa support kubwa kwa CCM inatoka China. Suala hili ni habari mbaya sana kwao (CCM). Na ni ishara mbaya kwao kuwa utawala wao nchini Tanzania unaweza kuwa unaenda ukingoni maana marafiki zao wakubwa wanaanza kuwa marafiki na wapinzani wao.
 
Serikali ya wachina (sio wachina wote) ndio ina uhusiano na ccm na pia hata watumishi wa serikali hiyo wana utashi binafsi pia sio wabebe ya Xi Jinping hadi hisia zake
 
Hoja yangu ni kwamba incident ya Msumbiji imewafanya kubadili muelekeo wao wa kuegemea kwa marafiki zao tu.

Kwa kuzingatia kuwa support kubwa kwa CCM inatoka China. Suala hili ni habari mbaya sana kwao (CCM). Na ni ishara mbaya kwao kuwa utawala wao nchini Tanzania unaweza kuwa unaenda ukingoni maana marafiki zao wakubwa wanaanza kuwa marafiki na wapinzani wao.
Wachina wenye nafasi hawajagi Africa. Hawa unaowaona mtaani wachuuzi ni wakiwa China hali mbaya. Wale unaowaonea huruma Mozambique unafikiri wana uchungu na Mozambique? Maana unaonesha sympathy kwa wachina kuliko victim wa utawala. Sawa yote yaliyotokea si mazuri, lakini point is, African dictators don't know China, na hii ignorance imefanya tuumize wananchi wetu. Mchina anahonga dictators Africa kusema westerners ni wabaya wakati yeye Mchina anategemea technology na biashara kutoka west.

We are simply "Useful idiots", kama Malaya, mfano hapo umejivunia sana ati kwa sababu wachina wamekuja hapo basi CCM wanaachwa, usidanganyike, you will be another useful idiot.
 
Wachina wenye nafasi hawajagi Africa. Hawa unaowaona mtaani wachuuzi ni wakiwa China hali mbaya. Wale unaowaonea huruma Mozambique unafikiri wana uchungu na Mozambique? Maana unaonesha sympathy kwa wachina kuliko victim wa utawala. Sawa yote yaliyotokea si mazuri, lakini point is, African dictators don't know China, na hii ignorance imefanya tuumize wananchi wetu. Mchina anahonga dictators Africa kusema westerners ni wabaya wakati yeye Mchina anategemea technology na biashara kutoka west.

We are simply "Useful idiots", kama Malaya, mfano hapo umejivunia sana ati kwa sababu wachina wamekuja hapo basi CCM wanaachwa, usidanganyike, you will be another useful idiot.
Target ya CHADEMA ni kuiondoa CCM madarakani.

CCM ipo madarakani kwa sababu nyingi ikiwemo kutokana na support kubwa wanayopata kutoka CHINA.

CHINA ambao ndo supporters wakubwa wa CCM kuanza kuwa flexible na kujenga urafiki na maadui na wapinzani wa CCM sio ishara na dalili nzuri kwa CCM.

Kama hujaelewa hadi hapa basi siwezi kukuelewesha tena.

Mantiki ya uzi huu ni kuonesha kwa namna gani CCM ipo kwenye njia ya kwenda kupoteza nguvu zake. Not otherwise.
 
China yenyewe kama China demokrasia yao ikoje?.
China hakuna Demokrasia. Huruhusiwi kuongea kuhusu siasa za kipinzani kwa serikali. Chama kimoja, CCP; Mtawala anaweza kubadirisha Katiba anavyopenda. Mwaka 2018 Rais alibadirisha Katiba kuwa rais wa maisha hadi atakapokufa. Alianza 2012 leo ni 2025.
 
Back
Top Bottom