Jicho langu la tatu kuhusu DP World kwa wanasiasa

Jicho langu la tatu kuhusu DP World kwa wanasiasa

Emmanuel Mkwama

Senior Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
166
Reaction score
124
DP world ni kampuni kutoka Dubai,yenye kumilikiwa na waarabu chini ya Dubai Emirates.

Kiukweli tangu imeingia nchini imeleta shida na kusababisha mpasuko nchini. Vyama vya siasa vimetofautiana, pia mjadala wake imeleta mpasuko wa kidini baina ya waislamu wachache na wakristo wachache. Pia imewainua wanaharakati tofautitofauti katika maeneo tofauti. Pia imefikia hatua kila rika linajadili swala la DP world si mtoto wala wakubwa.

Faida na hasara za mjadala wa DP world kwa vyama vya Siasa.

Kwa upande wa CCM ni kupoteza na kuendelea kushuka zaidi kisiasa kivyovyote vile.

Kama wakisema waendelee na DP world pasipo kusikiliza Makelele ya watu, wategemee kusababisha mpasuko zaidi na uwenda ikaleta shida ya machafuko nchi. Hii imesababishwa na elimu na makelele ya taasisi mbalimbali kuliongelea swala la DP world na kuendelea kutolewa elimu kwa kada mbalimbali nchini.

Pia wakisema waachane nao DP world hii itawapa wapinzani haki ya kuendelea kuikosoa serikali kwa kushindwa kuwa makini na kuwaongezea topiki majukwaani dhidi ya ubovu wa serikali na chama kilicho unda serikali.

Kwa upande wa upinzani na wanaharakati wao hawana cha kupoteza zaidi ya kuwaimarisha katika mapambano yao. Kusema ukweli wamepata pakuibana serikali kupitia inshu ya DP world.

Mtaji pekee walionao upinzani ni nguvu ya umma, ndiyo maana nasema wao hawana cha kupoteza. Ni kwa jinsi gani wataweza kuwaunganisha watu na kupaza sauti ili kuwashtakia serikali kwa wananchi.

Ahsanteni sana,pia karibuni katika kunikosoa.

Cc. Pascal mayalla, mshana Jr. Faiza fox, MS
 
DP world ni kampuni kutoka Dubai,yenye kumilikiwa na waarabu chini ya Dubai Emirates.

Kiukweli tangu imeingia nchi imeleta shida na kusababisha mpasuko nchi. Vyama vya siasa vimetofautiana, pia mjadala wake imeleta mpasuko wa kidini baina ya waislamu wachache na wakristo wachache. Pia imewainua wanaharakati tofautitofauti katika maeneo tofauti. Pia imefikia hatua kila rika linajadili swala la DP world si mtoto wala wakubwa.

Faida na hasara za mjadala wa DP world kwa vyama vya Siasa.

Kwa upande wa CCM ni kupoteza na kuendelea kushuka zaidi kisiasa kivyovyote vile.

Kama wakisema waendelee na DP world pasipo kusikiliza Makelele ya watu, wategemee kusababisha mpasuko zaidi na uwenda ikaleta shida ya machafuko nchi. Hii imesababishwa na elimu na makelele ya taasisi mbalimbali kuliongelea swala la DP world na kuendelea kutolewa elimu kwa kada mbalimbali nchini.

Pia wakisema waachane nao DP world hii itawapa wapinzani haki ya kuendelea kuikosoa serikali kwa kushindwa kuwa makini na kuwaongezea topiki majukwaani dhidi ya ubovu wa serikali na chama kilicho unda serikali.

Kwa upande wa upinzani na wanaharakati wao hawana cha kupoteza zaidi ya kuwaimarisha katika mapambano yao. Kusema ukweli wamepata pakuibana serikali kupitia inshu ya DP world.

Mtaji pekee walionao upinzani ni nguvu ya umma, ndiyo maana nasema wao hawana cha kupoteza. Ni kwa jinsi gani wataweza kuwaunganisha watu na kupaza sauti ili kuwashtakia serikali kwa wananchi.

Ahsanteni sana,pia karibuni katika kunikosoa.
Hivi nani anawafadhiri hao watu wanao anzisha uzi za DP world kua fresh kila siku, hapa angekua dictator hao wafadhiri wangekua rumande ila Raisi hu ni mstaarabu sana.
 
Hivi nani anawafadhiri hao watu wanao anzisha uzi za DP world kua fresh kila siku, hapa angekua dictator hao wafadhiri wangekua rumande ila Raisi hu ni mstaarabu sana.
Samahani mkuu,kama nimekosea ila nimewaza sana kwa jinsi unavyozidi kukuwa kwa jamii. Kila sehemu upo binafsi nimeusikia ukiendelea kusomwa kanisani na katika jumuiya. Sikujua kama mjadala umefungwa.
 
Samahani mkuu,kama nimekosea ila nimewaza sana kwa jinsi unavyozidi kukuwa kwa jamii. Kila sehemu upo binafsi nimeusikia ukiendelea kusomwa kanisani na katika jumuiya. Sikujua kama mjadala umefungwa.
Huo mjadala kwa siku kuna uzi sio chini ya 20 zinaanzishwa haijawahi kutokea jf, na mods ya jf wanatabia ya kuunganisha nyuzi zikiwa nyingi, ila kwa hu wabandari kama hawauoni, ujumbe ulisha fika kwa wa husiku tayari tusubiria marejesho kutoka juu tukilazimisha unakua uasi tena bhidhi ya serikali halali hilo ndo kosa kubwa kwa TEC na wana bahati hu Raisi ni mgwana angekua JPM au Beni stori ingekua tofauti kwasasa.
 
Hivi nani anawafadhiri hao watu wanao anzisha uzi za DP world kua fresh kila siku, hapa angekua dictator hao wafadhiri wangekua rumande ila Raisi hu ni mstaarabu sana.
Binafsi sina ufadhilii wa mtu yeyote zaidi ya utashi wangu kwa mwenye kunielewa. Ila unachokifanya unasababisha maswali mengi kwa watu.
 
Huo mjadala kwa siku kuna uzi sio chini ya 20 zinaanzishwa haijawahi kutokea jf, na mods ya jf wanatabia ya kuunganisha nyuzi zikiwa nyingi, ila kwa hu wabandari kama hawauoni, ujumbe ulisha fika kwa wa husiku tayari tusubiria marejesho kutoka juu tukilazimisha unakua uasi tena bhidhi ya serikali halali hilo ndo kosa kubwa kwa TEC na wana bahati hu Raisi ni mgwana angekua JPM au Beni stori ingekua tofauti kwasasa.

Mkuu utakuwa umenielewa vibaya juu ya mada yangu tajwa. Huu ni mtizamo upo tofauti tena unapaswa kuachwa wenyewe ili kujifunza zaidi.
 
Huo mjadala kwa siku kuna uzi sio chini ya 20 zinaanzishwa haijawahi kutokea jf, na mods ya jf wanatabia ya kuunganisha nyuzi zikiwa nyingi, ila kwa hu wabandari kama hawauoni, ujumbe ulisha fika kwa wa husiku tayari tusubiria marejesho kutoka juu tukilazimisha unakua uasi tena bhidhi ya serikali halali hilo ndo kosa kubwa kwa TEC na wana bahati hu Raisi ni mgwana angekua JPM au Beni stori ingekua tofauti kwasasa.
Dikteta kapuku katika ubora wako. Ndiyo maana huna cheo chochote ndani ya nchi hii na dunia kwa ujumla.
 
DP world ni kampuni kutoka Dubai,yenye kumilikiwa na waarabu chini ya Dubai Emirates.

Kiukweli tangu imeingia nchini imeleta shida na kusababisha mpasuko nchini. Vyama vya siasa vimetofautiana, pia mjadala wake imeleta mpasuko wa kidini baina ya waislamu wachache na wakristo wachache. Pia imewainua wanaharakati tofautitofauti katika maeneo tofauti. Pia imefikia hatua kila rika linajadili swala la DP world si mtoto wala wakubwa.

Faida na hasara za mjadala wa DP world kwa vyama vya Siasa.

Kwa upande wa CCM ni kupoteza na kuendelea kushuka zaidi kisiasa kivyovyote vile.

Kama wakisema waendelee na DP world pasipo kusikiliza Makelele ya watu, wategemee kusababisha mpasuko zaidi na uwenda ikaleta shida ya machafuko nchi. Hii imesababishwa na elimu na makelele ya taasisi mbalimbali kuliongelea swala la DP world na kuendelea kutolewa elimu kwa kada mbalimbali nchini.

Pia wakisema waachane nao DP world hii itawapa wapinzani haki ya kuendelea kuikosoa serikali kwa kushindwa kuwa makini na kuwaongezea topiki majukwaani dhidi ya ubovu wa serikali na chama kilicho unda serikali.

Kwa upande wa upinzani na wanaharakati wao hawana cha kupoteza zaidi ya kuwaimarisha katika mapambano yao. Kusema ukweli wamepata pakuibana serikali kupitia inshu ya DP world.

Mtaji pekee walionao upinzani ni nguvu ya umma, ndiyo maana nasema wao hawana cha kupoteza. Ni kwa jinsi gani wataweza kuwaunganisha watu na kupaza sauti ili kuwashtakia serikali kwa wananchi.

Ahsanteni sana,pia karibuni katika kunikosoa.

Cc. Pascal mayalla, mshana Jr. Faiza fox, MS
Kwa upande wa upinzani na wanaharakati wao hawana cha kupoteza zaidi ya kuwaimarisha katika mapambano yao. Kusema ukweli wamepata pakuibana serikali kupitia inshu ya DP world.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom