jicho langu linavimba..msaada wakuu

jicho langu linavimba..msaada wakuu

daisyvicky

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2012
Posts
343
Reaction score
198
jaman hii si mara ya kwanza..miaka miwili iliyopita uvimbe ulikaa mda mref nikafanyiwa minor operation ya kuutoa...sasa naona jicho la upande mwingine limevimba kwa juu..na linauma sana hadi nikiinama..sijui tatizo ni nini..msaada
 
Back
Top Bottom