Jicho Pevu: Waliomua Aboud Rogo na wenziwe ni Usalama wa Serikali Kenya

Jicho Pevu: Waliomua Aboud Rogo na wenziwe ni Usalama wa Serikali Kenya

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2006
Posts
4,191
Reaction score
677


Jana nilibahatika kuangalia Citizen ya Kenya kwenye kipindi cha Jicho pevu, nilioyaona na kuyasikia yaliniacha mdomo wazi. Hivi ni kweli usalama wa Kenya wanaweza kufanya mabaya kama yake kwa Raia wake wasio hatia?

Kwa kweli nimejiuliza mengi. Je, vipindi kama vile kuruhusiwa kuoneshwa haihatarishi usalama wa nchi na kuweka hatarini maisha ya baadhi ya watu?

Kwanini Serikali inaruhusu vipindi kama vile virushwe moja kwa moja?
 
Kamuulize Kenyatta!! Sisi wetu Ponda tumemuweka korokoroni!
 
jana nilibahatika kuangalia Citizen ya kenya kwenye kipindi cha Jicho pevu, nilioyaona na kuyasikia yaliniacha mdomo wazi. hivi ni kweli usalama wa kenya wanaweza kufanya mabaya kama yake kwa raia wake wasio hatia?

kwa kweli nimejiuliza mengi. jee vipindi kama vile kuruhusiwa kuoneshwa haihatarishi usalama wa nchi na kuweka hatarini maisha ya baadhi ya watu ?

kwa nn serikali inaruhusu vipindi kama vile virushwe moja kwa moja ?

kwa nini visirushwe? na tz ni nani anang'oa watu kucha na meno bila ganzi? ni wezi wa simu?
 
Bro u should take it simple hao ndio wanausalama wetu.nigependa kukupa neno moja tu kwamba curiosity killed the cat so take care.
 
magaidi ndo dawa yao hyo. huyo rogo alipata stahiki yake. hapa tz kuna mmoja ambaye anachekewa tu
 
da huyu moha wa jicho pevu huwa habari zake hazina kupinda pinda lazima ukitizama pindi lake upate shock kila mara
 
Mohamed ali wa jicho pevu balaa yani noma sana ustadh dilunga alizungumzia kifo cho rogo.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
Back
Top Bottom