Jide ahamia Ujerumani

Nimechoka kusemwa mimi,nahamia Zambia
 

Jd anazama polepole,hajui anataka nini muda huu.
Alijifanya kuajiri meneja ndugu yake wakafeli,sasa kajiamulia kukimbia watu kana kwamba ujerumani hakuna watu
 
Namshauri Jide Anakondq afanye utaratibu ahamie zake katikati ya bahari ya Pacific. Huko hakuna maneno wala chokochoko.
Inaonekana kweli anafikisika na yupo kwenye msongo wa mawazo na hali ya kukata tamaa
Kwa hiyo amestaafu na mapenzi?
 
Umesema kweli mzurimie kama kusemwa ndio ukimbie basi DIAMOND tungeshamsahau kabisa lakini yule kweli ni simba ana roho ngumu haswa na yupo anazidi kupambana.

Na nyie Bwana, kila mtu lazima mumfananishe na Diamond?? Mnamtukuza mno du
 
Last edited by a moderator:
Bado anamtaka Gardner,ayamalize tu mambo aliyokwazana naye,mwanaume ni mwanaume tu,apunguze wivu pia
 
Siamini kuwa Jide amefulia. Maskini Jide Love u my queen. Ruge mtu mbaya sana kaziba njia zako zote shetani mkubwa yule. Ungerudiana na G jamani ndio alikuwa nguzo yako usingefikia huku.
 
Siamini kuwa Jide amefulia. Maskini Jide Love u my queen. Ruge mtu mbaya sana kaziba njia zako zote shetani mkubwa yule. Ungerudiana na G jamani ndio alikuwa nguzo yako usingefikia huku.

...du!sasa Ruge kaingiaje hapa we kuzi!
 
Maskini, hujamuona Mungu aliyekuumba unaacha kumtukuza unamtukuza ndomo ambaye hajui hata uwepo wako duniani? Mmh nakuonea huruma, kweli akili ni nywele
Kwanza DIAMOND anajua uwepo wangu ila wewe ndio ujui uwepo wangu kwake,pili kwa nini usijihurumie wewe unayejishughulisha na mimi.Tatu ukitaka kujua ni jinsi gani ninamtukuza mungu iongelee vibaya imani yangu ndio utajua jinsi ninavyomtukuza,ila hapa ni celebriety forums na ninamsifia/kumtukuza msanii ninayempenda na hata kungekuwa na neno lingine lililolizidi ili la kutukuza ningelitumia kwa jinsi ninavyomkubali,ninapenda maswali ya shombo tafadhari niulize lingine lenye shombo zaidi ya ili.
 
Love is pain. Mwacheni jide,bado anauguza kidonda.
 
Nlifanikiwa kumwona wiki iliyopita Jide anaonekana msongo wa mawazo unamtafuna ,amefubaaa
 
mtu anaishi hotelini ujerumani mnasema amefulia? mnajua gharama za kuishi kwenye hoteli ujerumani? labda awe anadanganya
 
Mimi binafsi sijaona wa kumtukuza zaidi yake yeye.

Haya mtukuzeni, mtungieni na mapambio.Muanzishieni na Dini.
Mnasifu mnooo...kila kitu diamond.Ushabiki mwingine jamani too much! ! Huyo Dai ni mwanaume ujue.
 
Haya mtukuzeni, mtungieni na mapambio.Muanzishieni na Dini.
Mnasifu mnooo...kila kitu diamond.Ushabiki mwingine jamani too much! ! Huyo Dai ni mwanaume ujue.

Kuna watu hawawezi kucomment bila kumtaja huyo D. Mi pia nimejiuliza, hii thread ni ya Jide, sasa D anaingiaje?
 
Haya mtukuzeni, mtungieni na mapambio.Muanzishieni na Dini.
Mnasifu mnooo...kila kitu diamond.Ushabiki mwingine jamani too much! ! Huyo Dai ni mwanaume ujue.
Haya mtukuzeni, mtungieni na mapambio.Muanzishieni na Dini.
Mnasifu mnooo...kila kitu diamond.Ushabiki mwingine jamani too much! ! Huyo Dai ni mwanaume ujue.
Vipi, kama ni mwanaume mwenzangu maana yake nimponde au humu wote wanaosifiana ni wa jinsia tofauti ukiwa ni wa jinsia moja haurusiwi ?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…