Jide na Gadner acheni hizooo!

Mwaka 2009 kama mwaka 47 !!! Watu sijui ni ushamba wa enzi hizo!!! Sasa walikua wakipinga nini watu kutumia hela zao... Haya saivi sasa na hivi ndo kimenuka nadhani wale wachangiaji watakua wame toboka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…