warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
-
- #41
Acheni masikhara kuwa na nyumba masaki achilia mbali kiwanja..
~Bei za viwanja vya masaki mnaijua? Bosi wake wa zamani Joe Kusaga hana nyumba masaki itakuja kuwa jide?
~Labda maigizo tu ya Diary jumba kubwa kama ilo price yake per month si chini ya $5,000 mara 12 =60,000$=100millions Tsh.
Gharama za ule mgahawa wake wa nyumbani lounge ungeweza kumfanya aishi masaki au mbezi beach kule baharini, ila kwa kuwa jide sio mtu wa anasa ndio maana kaamua ku invest kwenye mgahawa, sidhan kama jide anashindwa kuishi masaki, maana ndio anapoishi now, sasa apo unabisha nini? Kwamba hawezi kupanga masaki au kujenga? Maana tayar yupo kwenye mjengo tayar