Jide na Gadner warudiana?

Tabia za kihaya umezoea vya dezo, unaliwa vyote papuchi na pesa pia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu unamsema sana captain but hayuko hivyo wala hajawahi kua na depression,hizo ni bata za kawaida since yuko na jide mpaka wameachana.
Kwani una tatizo nae,jamaa namfaham ila unaongelea opposite ya yeye kabisa

Sent using 007
 
Hasa ukute wengine shukrani hawana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkishavuana kabla hata mkiachana mkijakutana possibility ya kuvikutanisha ni kubwa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Jide kaona isiwe tabu chakufia nini, kimsingi huwezi kumuacha mtu unayempenda na mlieishi miaka mingi hata kama kulikua na migogoro ya hapa na pale!

Yale mazoea ya kuwa karibu nae yatakukaanga hamna rangi utaacha ona!
 
Sasa mwanaume rijali na una access ya ndinga na pesa unaanzaje kumkataa mtoto kama Tunda akileta shobo et kisa kuvumilia polygon kama Jide.
 
Wity acha mkono wa birika basi, ukitaka kula sharti uliwe kidogo...sasa we unataka kula pekeake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…