Jifunze jinsi ya kufungua website yoyote iliyozuiwa kwa kutumia kivinjari cha opera

Jifunze jinsi ya kufungua website yoyote iliyozuiwa kwa kutumia kivinjari cha opera

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ukisafiri baadhi ya nchi, website za muhimu kama za dini huwa zimefungiwa.

kuna browser inyoitwa opera, hii ni browser kama ilivyo kwa google chrome, lakini imeboreshwa zaidi kwa kuwekewa ndani yake feature ya vpn, huna haja ya kudownload vpn, ukiwa na opera ushamaliza mchezo.

1. ingia playstore au apple store, download Opera browser (sio opera mini)

1639683546783.png


2. fungua opera, ingia sehemu ya settings,


B. Ingia sehemu ya vpn



c. washa hii sehemu

step c.PNG





faida ya opera
  • huna haja ya kudownload vpn inayojitegemea, hii imo tayari ya browser ya kuperuzi mtandao
  • huna haja ya kufungua na kuwasha vpn kila mara, opera ukiseti mara moja tu umemaliza kazi.
 
onyo: maelezo haya yametolewa kwa nia ya matumizi ya kielimu tu, tumia maelezo haya yatayo kusaidia positively.

Ukisafiri baadhi ya nchi, website za muhimu kama za dini huwa zimefungiwa.

ili kufungua fuata hizi hatua izi nyepesi.

1. ingia playstore au apple store, download Opera browser (sio opera mini)

View attachment 2046694

2. fungua opera, ingia sehemu ya settings,



View attachment 2046711

B. Ingia sehemu ya vpn

View attachment 2046712

c. washa hii sehemu

View attachment 2046713

sasa utaweza kuperuzi websites, kutakuwa na alama ya vpn kila unapofungua website

View attachment 2046731

tumia opera kwa websites zilizofungiwa tu, kwa matumizi ya kawaida tumia uliyokuwa ukiituma kabla ya opera
Sasa hadi hapo si tayari utakuwa umetumia vpn au?.Tena vpn yake hiyo inakula data kama nini ukiiwasha unaongeza matumizi ya bundle kwa aslimia 30
 
Sasa hadi hapo si tayari utakuwa umetumia vpn au?.Tena vpn yake hiyo inakula data kama nini ukiiwasha unaongeza matumizi ya bundle kwa aslimia 30
hii ni browser kama ilivyo kwa google chrome, vpn imeongezewa humo humo, huna haja ya kudownload vpn.
 
onyo: maelezo haya yametolewa kwa nia ya matumizi ya kielimu tu, tumia maelezo haya yatayo kusaidia positively.

Ukisafiri baadhi ya nchi, website za muhimu kama za dini huwa zimefungiwa.

ili kufungua fuata hizi hatua izi nyepesi.

1. ingia playstore au apple store, download Opera browser (sio opera mini)

View attachment 2046694

2. fungua opera, ingia sehemu ya settings,



View attachment 2046711

B. Ingia sehemu ya vpn

View attachment 2046712

c. washa hii sehemu

View attachment 2046713

sasa utaweza kuperuzi websites, kutakuwa na alama ya vpn kila unapofungua website

View attachment 2046731

tumia opera kwa websites zilizofungiwa tu, kwa matumizi ya kawaida tumia uliyokuwa ukiituma kabla ya opera
Umechelewa Mkuu Kigogo wa Twita mwaka Jana alitupa 'Maujanja' tena zaidi ya haya yako.

Hata hivyo tunakushukuru kwa Jitihada zako Kwetu kwa Jambo ambalo tayari tumeshalijua.
 
hii ni vpn ambayo imo tayari kwenye browser.

hakuna usumbufu wa kudownload vpn nakuiwasha kila mara
Sawa!! But nilidhani ulilenga kushare maujanja ya jinsi ya kufungua websites zilizofungwa bila kutumia vpn maana matumizi ya Vpn katika kuaccess websites inaongeza matumizi ya data maradufu kwa asilimia zaidi ya 30 lakini hata hivyo sio mbaya thanks for sharing mkuu angalau itaepusha usumbufu kama ulivyosema...
 
Umechelewa Mkuu Kigogo wa Twita mwaka Jana alitupa 'Maujanja' tena zaidi ya haya yako.

Hata hivyo tunakushukuru kwa Jitihada zako Kwetu kwa Jambo ambalo tayari tumeshalijua.
ule ulikuwa ni uchafu, mtu alikuwa anaweka vpn hata 10 kwasababu zilikuwa zina kikomo,

opera ni browser kama ilivyo kwa google chrome, vpn imeongezewa humo humo, huna haja ya kudownload vpn.

1639687613788.png
 
Sawa!! But nilidhani ulilenga kushare maujanja ya jinsi ya kufungua websites zilizofungwa bila kutumia vpn maana matumizi ya Vpn katika kuaccess websites inaongeza matumizi ya data maradufu kwa asilimia zaidi ya 30 lakini hata hivyo sio mbaya thanks for sharing mkuu angalau itaepusha usumbufu kama ulivyosema...
nimeandika " ma vpn" huo ni wingi mkuu 😂 ilifika mahali mtu ana vpn hadi 5 kwenye simu.

suluhisho langu ni rahisi, unatumia tu opera ambayo ina vpn ndani yake ya bure kabisa.
 
Back
Top Bottom